<br />me ninaswal 1 .kama hauna mkopo inamaana hela ya kujikimu, stationary na accomodation unajtegemea au? naomba mnijuze!
Hali ni mbaya sana, mimi mpaka sasa cjampa taarifa mzazi wangu, sababu huo uwezo hana, na cha ajabu chuo nilichopangiwa kinataka mpk tar. 20sept niwe nimepeleka nusu ya ada kma laki 5, hapo bado hostel lak 3 na nusu, bado el ya matumizi. Kumbuka hizo ela inapaswa nipate ndan ya wiki hiz 4 yaan mwezi mmoja. Na wakat sifa zote ninazo, Haya c masihara.
<br />me ninaswal 1 .kama hauna mkopo inamaana hela ya kujikimu, stationary na accomodation unajtegemea au? naomba mnijuze!
<br />dah! Poleni sana wakuu ambao hamjafanikiwa kupata mkopo,mwenyewe nimeshindwa kujua vigezo walivotumia kutoa mikopo sababu masela wangu kibao pia wamekosa. Ningeomba kueleweshwa je walioko kundi B watapata ile 7500/= ya kila siku?
<br />4m 4 div II shule ALDERSGATE, F6 Div I MWENGE SINGIDA, NIMEOMBA CHUO KWA MIAKA 3 MFULULIZO NIKAPATA ILA HUWA NAKOSA MKOPO NAAMUA KUKAa Kimya LEO NIMECHAGULIWA B.COM IN human Resources mgt UdsM no loan kwa miaka yote nahangaika ila no money. Napiga akili kumkichwa nakosa majibu umri unakwenda cna cha maana nikifanyacho duuh na kila mara ninaomba mkopo kuna nani huko Bodi juu yangu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
fedha za kujikimu kwa maana ya msosi malazi stationary nk wanafunzi wote wanapata sawa tofauti inakuja kwenye fees tu so asilimia 90 ndo B ikimaanisha asilimia kumi ya ada utalipa mwenyewe na hiyo unaweza ukabana matumizi yako ukalipa sio hadi umbane mzee,unawaangalia na madogo uliowaacha home au vp
<br />Mie uncle wangu kapiga two ya kwanza ten points ni orphans totally. nimemsomesha kwa kukopa salary advance, nikakosana na my wife kwa kuwa nilipunguza kumlipia mwanangu ili uncle aje awasaidie wadogo zake. AKACHAGUA UALIMU. cha ajabu amekosa loan aliowazidi shuleni kwake waliopata three na wameomba ualimu wamepata loan 100%. ameniuliza atakuwa mgeni wa nani atapata wapi hela za chuo. Na mimi majukumu yameongezeka, wazazi nao wamezeeka wanahitaji msaada wangu. wanangu nao wanahitaji niwaandalie mazingira mazuri ya maisha. TCU/BODI KUENI WATANZANIA JAMANI.