Mm pia brother ila nadhani kama alivyosema mjumbe maana mifumo ya utoaji wa matokeo. Lakini naamini hdi katikati ya mwezi huu April mambo yatakuwa hewani. Tuendelee kujipanga maana urasimu nao umezidi HELSB.tz
Sikuizi hakuna kupanga foleni na kujazana na bahasha kule Tirdo, wanaomba online sio kama enzi zile kila mwaka ukamtafute wakili akulie buku 2 yako ndipo akupigie muhuri dah.
Nilisikia hivyo wameamia mwenge sikuiz tho i was not sure maana mwaka jana mwanzoni nilipoenda kufatilia statement yangu ya mkopo nione marejesho yangu walikuwa bado Tirdo.