TCU na HESLB wanaua ndoto za wanafunzi

TCU na HESLB wanaua ndoto za wanafunzi

stewart2

Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
30
Reaction score
4
Daah, ndugu wanaJF hawa jamaa sasa wamekuwa kiini cha kuharibika kwa ndoto za wanafunz weng hasa hasa watoto wa mama n'tilie pamoja na Wakulima maana sasa watoto weng wamekuwa wakilazmika kujaza degree program ambazo hazikuwa kwenye malengo yao yote hii ni kutokana na priority ya mkopo.
 
Polee ng'ombe wa masikini hazai.na akizaa mtoto anadumaa
 
Daah, ndugu wanaJF hawa jamaa sasa wamekuwa kiini cha kuharibika kwa ndoto za wanafunz weng hasa hasa watoto wa mama n'tilie pamoja na Wakulima maana sasa watoto weng wamekuwa wakilazmika kujaza degree program ambazo hazikuwa kwenye malengo yao yote hii ni kutokana na priority ya mkopo.

This is wat is called natural selection.....sasa mtu ana maksi duni afu anataka program nzitonzito....acheni lawama nyie...
 
Back
Top Bottom