tcu na speed ya trekta

tendega

Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
61
Reaction score
13
jaman mbona hawa tcu mambo yao taratibu sana, tangu wametoa nafasi ya kuhama vyuo, mpaka leo hawajatoa majina,na vyuo vimesha funguliwa,hivi hawaoni kama wanawachelewesha wanafunzi masomo?mkopo bado hata majina tu. fanyeni hima basi.
 
Jaribu kutembelea website ya chuo ulichoomba kuhamia mara kwa mara kwan chuo hucka kitaanza kutoa hyo majina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…