Jamani wadau naomba mnipe jibu. kwanini TCU iliikubalia st joseph campus ya arusha wakati hata majengo hayajatengamaa hostel hakuna na chuo kipo porini kweli dada zetu sikwamba watakuwa katika mazingila ya hatar.
2.inawezekana hata tcu walipokuja kukikagua hicho chuo walioneshua kiwanja tu maana haiwazekani toka kipindi cha kuapply hadi sasa hivi chuo hakija kamilika.kweli tunabolesha elimu au tuna bomoa ?