TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Hili jambo ni gumzo ktk elimu ya nchi yetu! vyuo vyenyewe vinatofautiana max ktk kupanga ufaulu wa mtu! kuna vyuo ukipata 70 kwenda juu ni A, 60 B plus, ukipata 41- C wakati vyuo vingine A inaanza na 80>, 49 mtu ana sup. tofauti hizi sijui TCU wanazionaje au nini mtazamo wao kuhusu hili! tusilumbane elimu yetu bado inautata!
 

Mzumbe labda ya morogoro lakini hii Dsm Business School ni majanga matupu, its a shame mpka mitihani inavuja
 
Hii Maada imekwenda shule mkuu, me pia nimefanya utafiti wangu na kugundua hilo katika vyuo vya Tumaini, Ustawi, Mzumbe Dar. Wanaokota walimu tu, wanahonga marks, wanafunzi wao wengi vilaza hawajui hata kuandika email na barua, CV zao ni unprofessional kama za watoto wa shule za msingi. We Jaribu siku moja kuuliza wanafunzi wa masters wa mzumbe na tumaini kama Je wataweza kuomba PHD kufanyia UDSM-UDBS na utasikia majibu yao ya WOGA na Kutojiamini!! ooh cjui maprof wa udsm wababe, ooh maprof wa udsm wanajiona, pure rubbish. Me nagonga zangu kitu cha Online toka Cape Town University baada ya kukosa nafasi UDBS... TCU wafanye kitu katika hili na watafungia vyuo vingi sana.
 

Mwalimu Zawadi hapo juu ametaja sababu ambazo kwa probability ni 50% ya ukweli wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…