Hii Maada imekwenda shule mkuu, me pia nimefanya utafiti wangu na kugundua hilo katika vyuo vya Tumaini, Ustawi, Mzumbe Dar. Wanaokota walimu tu, wanahonga marks, wanafunzi wao wengi vilaza hawajui hata kuandika email na barua, CV zao ni unprofessional kama za watoto wa shule za msingi. We Jaribu siku moja kuuliza wanafunzi wa masters wa mzumbe na tumaini kama Je wataweza kuomba PHD kufanyia UDSM-UDBS na utasikia majibu yao ya WOGA na Kutojiamini!! ooh cjui maprof wa udsm wababe, ooh maprof wa udsm wanajiona, pure rubbish. Me nagonga zangu kitu cha Online toka Cape Town University baada ya kukosa nafasi UDBS... TCU wafanye kitu katika hili na watafungia vyuo vingi sana.