TCU/NACTE nawalaani

Beautifullgirl

Senior Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
100
Reaction score
15
Yan toka mniambie mpo katika progress mpaka leo hii hayo masaa mlonipa 72 yamepita lakini hakuna kinachoendelea mweeee na mda umekwisha,,,2fu hamsini yangu mshakula kiulaini mwee
 
Sawa lakin mm kila nikilogin bado nakuta ile sms yao kua wako katika progress na masaa yao waliyonipa yamepita na hakuna jipya kila nikiingia bado naambiwa hvohvo tu
 
Ondoa hofu huwezi kosa chuo! Nafasi ni nyingi kuliko wenye sifa
 
Sawa lakin mm kila nikilogin bado nakuta ile sms yao kua wako katika progress na masaa yao waliyonipa yamepita na hakuna jipya kila nikiingia bado naambiwa hvohvo tu

Umekwama kwenye hatua gani ktk kujisajili? then unajisajili kwa sifa ya diploma au oversea? Jaribu kufungua e-mail yako labda kuna maelekezo yoyote umetumiwa.
 
Yan toka mniambie mpo katika progress mpaka leo hii hayo masaa mlonipa 72 yamepita lakini hakuna kinachoendelea mweeee na mda umekwisha,,,2fu hamsini yangu mshakula kiulaini mwee

Hao ni NACTE ndo wana upuuzi huo kwa Diploma Holders lakini Form Six leavers kwa upande wa TCU per sec hawana taabu hiyo. NACTE wameshakula hamsini za watu na hawa respond iwe kupitia simu au email. Shaaaaammmeee on them!!!!
 
Hao ni NACTE ndo wana upuuzi huo kwa Diploma Holders lakini Form Six leavers kwa upande wa TCU per sec hawana taabu hiyo. NACTE wameshakula hamsini za watu na hawa respond iwe kupitia simu au email. Shaaaaammmeee on them!!!!

Wale wahuni tu
 
Umekwama kwenye hatua gani ktk kujisajili? then unajisajili kwa sifa ya diploma au oversea? Jaribu kufungua e-mail yako labda kuna maelekezo yoyote umetumiwa.

Najisajili kama diploma,,,ilipo apload transcript na chet cha diploma ndo nikaambiwa nisubiri. Evaluation progress hapo ndo nilipokwama
 
Hao ni NACTE ndo wana upuuzi huo kwa Diploma Holders lakini Form Six leavers kwa upande wa TCU per sec hawana taabu hiyo. NACTE wameshakula hamsini za watu na hawa respond iwe kupitia simu au email. Shaaaaammmeee on them!!!!

Yan n joto hasira apa
 
Najisajili kama diploma,,,ilipo apload transcript na chet cha diploma ndo nikaambiwa nisubiri. Evaluation progress hapo ndo nilipokwama

Kama hawajakujibu jaribu kuhakikisha kama ulituma transcript na cheti kwa usahihi yaani kwa mujibu ya masharti yao ni lazima uscan kwa kutumia program ya PDF na kuituma ikiwa kwenye format hiyo hiyo ya PDF. pia hakikisha umescan na kutuma pages zote za transcript yako hata kama zipo tatu. na mwisho tembelea e-mail yako kuangalia majibu wakati mwingine wanaweza kuwa wamekutumia e-mail lakini isiende kwenye inbox folder so pia jaribu kuangalia kwenye folders zingine kama Trash na Spam.
 

Asantee ndugu nimefanya yote ngoja niangalie email ya sparm na trash
 
^^
Unajua maana ya Laana? Au umejisikia kutamka tu.
^^
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…