<br />TCU ndo nini? Au ndo UDA, DOWANS, RICHMOND, SAIGON, EPA, MEREMETA, KAGODA, EWURA, HESLB, TANESCO, TTCL? Watanzania bwana mnanifurahisha sana! Anyway hii ndo Tanzania bwana.
<br />wangefanya fasta kuna dogo wangu kaaply thru tcu chuo kikuu na aliaply diploma ya ualimu tayari huko kachaguliwa wanaanza this month sasa inamwia vigumu kuamua kajaa mchecheto hebu tcu wafirikieni na hao ili ajue ka kakosa chance au kapata ili averfy na mkopo sababu ka akikosa mkopo inabidi aende diploma we cant afford university tuition fees