sellection tayari imesha fanyika,majina ya walio kuia sellected yameplekwa bodi ya mkopo,then soon yatatangazwa
kwani kuna ambao hawajachaguliwa?
Lazima
system ina sellect kulingana na kiwango cha ufaulu wa watu fulani walio chagua kozi husika,kama kuna mwenye max za chini kulingana na admission capasity kuwa na ushindani watu wanapigwa nockout,ila haiwezekani kukosa coz still mtu unachagua vyuo nane ukose vyote?
kwa sababu zipi?
hawa form 6 leaver mbona wanatusumbua..mods hebu waangalieni coz post zao hazina mashiko bali ni kama za fcbk
hawa form 6 leaver mbona wanatusumbua..mods hebu waangalieni coz post zao hazina mashiko bali ni kama za fcbk
Kila mtu anahaki ya kupewa taarifa. Sasa wewe unakashifu nini. Nenda MMU kule ndio kuna thread utakazozipenda
Matokeo ya tcu baada ya budget .......................over