majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 118
jembe jembe mi sidanganyi bhana !! Uwo ndo ukweli ulishasoma mechanism ya viroboto ni kwikwi joh
BVM wenzangu mko waPi tukiongozwa na ze duduz
powa mzazi kapige mambo ngoja sisi tukapige hizi laini sheria hapo ud
2po mkuuuu!
kama kawa kama dawa !! Wadau ka vp tufungue thread yetu ili tuweze kufahamiana vizuri au mnasemaje !!
oBvious,itakua poa so tunafika tunaanza kushangaana!
Afadhal
Ebana sana mkuu tufahamiane ma classmate
BVM pande za Suaa ooh mamaaaa !!
umeamini nilichokuambia cku zle dogo?
Tuko pamoja mkuu ni-pm namba yako ya simu tunaweza kuwa mabest huko mkuu
hahah yeah mkuu !! Hv ulijuaje mkuu
mim ni kachero wa CIA dogo.au unataka nikutajie na jina lako lote?