Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa waliojaribu kuitumia CAS wanaelewa kero mbali mbali za hii sytem.Kwa mfano kwenye profile yako baadhi ya taarifa hazionekani licha ya kuwa umeiziingiza kwa usahii kabisa,au unaweza kuclik selected program kwa lengo la kubadilisha kozi badala yake system inakurudisha nyuma kwenye page ya home/registration wakati ulishakamilisha hatua hiyo.Tatizo lingine kwa mfano leo asubuhi ukiingia kwenye website inafunguka vizuri ila ukija click kwenye option ya click to apply yanatokea maneno this site is hacked.
Swali hapa hawa maofisa wa TCU wanafanya nini kuondoa tatizo hili?Mbona matatizo haya ni ya muda sasa na wako kimya tu?Wanataka muda uishe alafu watu wapate hasara?
Jamani hembu wajibikeni hata kwa kutoa ufafanuzi kuliko kukaa kimya wakati tunapata shida hii.
Swali hapa hawa maofisa wa TCU wanafanya nini kuondoa tatizo hili?Mbona matatizo haya ni ya muda sasa na wako kimya tu?Wanataka muda uishe alafu watu wapate hasara?
Jamani hembu wajibikeni hata kwa kutoa ufafanuzi kuliko kukaa kimya wakati tunapata shida hii.