available slots hz hapa.
hivi iyo transfer ni kwa wote au nacte nao wanaprocess zao za kuhama chuo.
nimeyapenda maelezo yako kaka but cjaelewa hiyo form nikishadownload najaza then na send kwa kuscan au naituma kwa posta?
Hakuna kitu hapo ,wote umalaya mtupu.
why hakuna medicine, pharmacy, architecture, env science, eng