MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
<br />acheni pupa,majina watatoa tu,na kama una sifa umechaguliwa,sasa haraka ya nin
<br />Nakumbuka tcu walipotoa majina ya walio kosa, walitoa na nafasi nyingine kwa watu hao kuomba tena via internet, tena bure. Wakatoa na kozi ambazo watu hao walipaswa kuomba. haikuishia hapo, wakaongeza nafasi ya kuaply via e-mail BURE sasa hzo fedha haram unazo zungumzia ww ni zip? Ninyi f6 leaver msijifanye mna ham sana ya kuingia chuo. Njoon tu vyuon muone. Wengine mtataman kurud nyumban semester ya kwanza tu kwa sababu zozote zile. Iwe ugum wa maisha, ugum wa masomo etc. Tena msifundishe watu kazi, hao jamaa wamesona kuzidi ninyi wanajua kwann wanafanya hivyo. Hata mim naona wanachofanya is logical.
<br />Nakumbuka tcu walipotoa majina ya walio kosa, walitoa na nafasi nyingine kwa watu hao kuomba tena via internet, tena bure. Wakatoa na kozi ambazo watu hao walipaswa kuomba. haikuishia hapo, wakaongeza nafasi ya kuaply via e-mail BURE sasa hzo fedha haram unazo zungumzia ww ni zip? Ninyi f6 leaver msijifanye mna ham sana ya kuingia chuo. Njoon tu vyuon muone. Wengine mtataman kurud nyumban semester ya kwanza tu kwa sababu zozote zile. Iwe ugum wa maisha, ugum wa masomo etc. Tena msifundishe watu kazi, hao jamaa wamesona kuzidi ninyi wanajua kwann wanafanya hivyo. Hata mim naona wanachofanya is logical.
<br />HAHAHA! 6 Leavers wanahamu kuingia chuoni... wakuu wanaficha majina kujaribu kuficha privacy ya mtu! baadhi ya watu wasingependa kujulikana wamekwenda chuo gani kusoma major gani...
<br />
<br />
mbona wajanja waisha jua wanaenda wap!
<br />wamejua lakini si kwa matokeo kuwekwa hadharani .... si nasikia kuna utaratibu wa kujua..? mkuu yeye hapo juu anataka waanikwe magazetini au kwenye ubao wa matangazo
<br />wamejua lakini si kwa matokeo kuwekwa hadharani .... si nasikia kuna utaratibu wa kujua..? mkuu yeye hapo juu anataka waanikwe magazetini au kwenye ubao wa matangazo