TCU: Vipi kuhusu majibu?

TCU: Vipi kuhusu majibu?

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2009
Posts
929
Reaction score
147
Jamani kama mtakumbuka hivi karibuni wanafunzi walio maliza kidato cha sita wali apply kupitia central admission system, vipi majibu mbona yanachelewa?.
 
TCU wamechemsha na kufulia kwa hili, hata wenyewe full kujichanganya.
 
Jamani kama mtakumbuka hivi karibuni wanafunzi walio maliza kidato cha sita wali apply kupitia central admission system, vipi majibu mbona yanachelewa?.

Kwani wewe una haraka gani!? Weekend hii majibu yanatolewa. Sikilizia vyombo vya habari by saturday. Kila la kheri
 
Na sisi wa equevalent? Au wakitoa tcu ndipo vyuo husika watarelease?
 
Kwani wewe una haraka gani!? Weekend hii majibu yanatolewa. Sikilizia vyombo vya habari by saturday. Kila la kheri
Nisikilize chombo gani?. Mi ninashauku kea sababau nayategemea sana hayo majibu cja apply kokote pale zaidi yao. @ kanyafu, Je na wewe ni mdau?
 
Nisikilize chombo gani?. Mi ninashauku kea sababau nayategemea sana hayo majibu cja apply kokote pale zaidi yao. @ kanyafu, Je na wewe ni mdau?

TCU wanachuja majina ila kupata wale wenye sifa za kusoma vyuo vikuu, halafu majina yanayokuwa na sifa hupelekwa kwenye vyuo husika ambako muombaji aliomba, hivyo vyuo vitachagua wanao wataka kulingana na uwezo wa vyuo na qualification miongoni mwa wale waliochujwa toka TCU. kwahiyo tarajia kupata majibu toka kweye vyuo ulivyoomba. ukweli ni kuwa uliomba kweye vyuo ila ulipitia TCU. TCU kazi yao ni kuhakikisha vyuo vinafanya kazi kwa kuzingatia ubora. ktk kutekeleza hilo, moja ya kazi za TCU ni kuhakikisha vyuo vinachukua watu walio na sifa za kusoma vyuoni. kuna vyuo vingeweza kusajili watu ambao hata hawana minimum qulifications, hilo huzuiwa na mkono wa TCU
 
subiri kwanza 'wanachakachua' majina kabla ya kutoka..........stay tuned!!
 
TCU wamejaa usanii tuu na am sure kwa sasa wako busy na uchakachuaji wa majina.
Bse kwa website yao wameandika majibu mid sept na leo ni 18 sept wapi na wapi?
 
TCU wanachuja majina ila kupata wale wenye sifa za kusoma vyuo vikuu, halafu majina yanayokuwa na sifa hupelekwa kwenye vyuo husika ambako muombaji aliomba, hivyo vyuo vitachagua wanao wataka kulingana na uwezo wa vyuo na qualification miongoni mwa wale waliochujwa toka TCU. kwahiyo tarajia kupata majibu toka kweye vyuo ulivyoomba. ukweli ni kuwa uliomba kweye vyuo ila ulipitia TCU. TCU kazi yao ni kuhakikisha vyuo vinafanya kazi kwa kuzingatia ubora. ktk kutekeleza hilo, moja ya kazi za TCU ni kuhakikisha vyuo vinachukua watu walio na sifa za kusoma vyuoni. kuna vyuo vingeweza kusajili watu ambao hata hawana minimum qulifications, hilo huzuiwa na mkono wa TCU
Baada ya TCU kupeleka hayo majina yenye sifa huko vyuoni na vyuo kuchagua wanaowataka, then hao wasio takiwa na hivyo vyuo inakuaje??!
 
Subirini hadi uchaguzi uishe. Nadhani hawapendi kuwambia hilo.
Msisahau kumchagua kamanda Dr WPSlaa
 
Baada ya TCU kupeleka hayo majina yenye sifa huko vyuoni na vyuo kuchagua wanaowataka, then hao wasio takiwa na hivyo vyuo inakuaje??!

Kwani mtu akituma maombi ya kozi flani chuoni akikataliwa kwa kukosa qualifications inakuwaje? SOMA KWA BIDII!
 
TCU wameanza kupost majina ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kwenye baadhi ya vyuo. Wamenza na vyuo 10. Tatizo ni kwamba website yao ni ngumu kui-access. Nadhani kwa sababu ya traffic kubwa haifunguki. Sasa kwa nini na vyuo husika visipost hayo majina wakati huo huo ili kuzuia kila mtu kukimbilia website ya TCU? Wangetoa hayo matokeo hata kwa taasisi zingine kama Wizara ya Elimu, Baraza la Mitihani na hata Loan Board nao waweke ili iwe rahisi watu kupata matokeo yao mapema. Hata kama ili zoezi ni mara yake ya kwanza TCU has been very inefficient. Inatia shaka kama wao wanafanya kazi nzuri zaidi kuliko vyuo vyenyewe.

Halafu huu mfumo wa kumchagulia mtu chuo na course bila kuzingatia utashi (choice) yake kweli ni haki? Nahisi matokeo yake yanaweza kuwa DISCO nyingi huko mbele ya safari.
 
Back
Top Bottom