mchepukomatope
Member
- Jun 4, 2015
- 37
- 18
Heshima kwenu wakuu wote wa humu.
Niwaletee habari mpya kwa wale wenzangu na mimi walioomba kusitisha nafasi zao na kutuma maombi ya kuomba upya vyuo kwa mwaka wa masomo 2015/16
TCU wameachia list mpya hebu bofya hapa kusoma list http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Tangazo waombaji wapya.pdf au soma hapa kupakua list nzima. http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Approved re-application BAtch3.pdf.
Niwape angalizo wale VILAZA wa KIU na ST. Joseph walioomba kuacha chuo na wengine kuandamana hadi ofisi za TCU kushinikiza kuhamishwa ndugu zangu mnapoteza muda wenu. Bora muache chuo na kuomba zenu Education Science mapema. Kwenye vyuo kama MWECAU ana Marian University (Chuo kipya cha St. Agustine) hapa mtasoma programme za Sayansi vizuri bila shida.
Nawatakia sikukuu njema.
Mhanga mwenzenu nimeomba Education Science mapemaaa sitaki shida:A S-rap:
Niwaletee habari mpya kwa wale wenzangu na mimi walioomba kusitisha nafasi zao na kutuma maombi ya kuomba upya vyuo kwa mwaka wa masomo 2015/16
TCU wameachia list mpya hebu bofya hapa kusoma list http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Tangazo waombaji wapya.pdf au soma hapa kupakua list nzima. http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Approved re-application BAtch3.pdf.
Niwape angalizo wale VILAZA wa KIU na ST. Joseph walioomba kuacha chuo na wengine kuandamana hadi ofisi za TCU kushinikiza kuhamishwa ndugu zangu mnapoteza muda wenu. Bora muache chuo na kuomba zenu Education Science mapema. Kwenye vyuo kama MWECAU ana Marian University (Chuo kipya cha St. Agustine) hapa mtasoma programme za Sayansi vizuri bila shida.
Nawatakia sikukuu njema.
Mhanga mwenzenu nimeomba Education Science mapemaaa sitaki shida:A S-rap: