TCU warahisisha zoezi la kuona selection

Mkuu asante sana.kuna ndugu yangu nilikuwa namwamchekia chuo alichochagulia,kweli nimefanikiwa kuona hicho chuo.Barikiwasana!
 
Licha ya kuwa mkwe, wewe ni kajukuu kangu.

aaah Mamndenyi sasa huyu binti ako anayeenda chuo mbona nitakuwa nimemuacha kwa mbali... kwa namna yoyote vile uwezekano wa kuwa mjukuu wako ni mdogo sana

mpe hongera mdogo angu mwambie namtakia masomo mema
 
Last edited by a moderator:
nimefanya second round applicantion ikakubali mbeya university bado hawajatoa majina?
 
msaada wana ndugu mm nimeandikiwa no result found or not yet approved by. the istution nimejaribu kufungua akaut yang nameandikiwa processed successful. u have been selected mnijuze pls, chuo nilichoandiki ni muhas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…