Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Jamani wazoefu msaada kidogo...nimetembelea profile yangu ya TCU leo karibu nizimiee....
Nimekuta selection zangu zote zimevurugwa vurugwa na nimewekewa mpya..mbaya zaidi hizo mpya zenyewe siendani nazo...mi nimepiga hge...sasa wameniwekea hivii
1. Bachelor of arts in french udom
2. Bachelor of arts in english udom
3. Land valuation n management ardhi..hii haijabadilishwa
4. BBA- RUAHA
5. Bsc in account n finance ardhi...hii nayo haijabadilishwa...
Sasa najiuliza kama wao ndo wameweka nibadilishe tena??...na nikiacha french ntasomaje mie cjui chochoteee??.....hii hatari msaada jamani
Hahahaaa mwisho kabisa nazidi kujithibitishia kuwa nimefeli...kwani zote zilizofutwa ni za UDSM na MZUMBE....LOL
Nimekuta selection zangu zote zimevurugwa vurugwa na nimewekewa mpya..mbaya zaidi hizo mpya zenyewe siendani nazo...mi nimepiga hge...sasa wameniwekea hivii
1. Bachelor of arts in french udom
2. Bachelor of arts in english udom
3. Land valuation n management ardhi..hii haijabadilishwa
4. BBA- RUAHA
5. Bsc in account n finance ardhi...hii nayo haijabadilishwa...
Sasa najiuliza kama wao ndo wameweka nibadilishe tena??...na nikiacha french ntasomaje mie cjui chochoteee??.....hii hatari msaada jamani
Hahahaaa mwisho kabisa nazidi kujithibitishia kuwa nimefeli...kwani zote zilizofutwa ni za UDSM na MZUMBE....LOL