ni kwel ukitaka kujua ili uingie kwenye mkato eka nukta wakat unaeka number yako kama user name mfano s0781.29121.2009 na ueke paswrd zako yan ucje ukaeka mkato eka nukta? ukfanya hvo ndo utaweza login kwny hyo site ya login 4 higher institution halaf fuata maelekezo
Dah!! Io s0781 arusha day moja arifu ,,
dah! Ulikuwa pande hzo nini?
Wakuu ni kweli coz mi nlijaribu usiku ikakubali but sahv inagoma!
:spy: jamani mbona mimi nimelogin sasa fresh,unaweza kuingiza mara ya 1 ikagoma rudia tena itakubali acheni ubishi hausaidii
Uja think mkuu kumwita mpumbavu mtu aliyeleta newz nzuri hakika kama kifaa changu kingekuwa na pdf pale pale ningedowload na kudisplay isitoshe nimewasiliana na jamaa yangu ameshindwa kulog in lakini nawaakikishia nimelog in mara 2 ikakubali ila kwa kuwa mbuz wa maskin hadownload basi lakini mkuu hukishindwa usikimbilie kwenye matusi ipo mitandao mingi ya matusi ila sikushauri uende huko kaa hapa utajifunza kitu kutoka kwa GT. MUNGU AKUBARIKI SANA.Pumbavu
Ahsante sana mkuu hakika umemjibu kiungwana mno! Unatakiwa kuwa mfano kwa Casio staha humu jfUja think mkuu kumwita -------- mtu aliyeleta newz nzuri hakika kama kifaa changu kingekuwa na pdf pale pale ningedowload na kudisplay isitoshe nimewasiliana na jamaa yangu ameshindwa kulog in lakini nawaakikishia nimelog in mara 2 ikakubali ila kwa kuwa mbuz wa maskin hadownload basi lakini mkuu hukishindwa usikimbilie kwenye matusi ipo mitandao mingi ya matusi ila sikushauri uende huko kaa hapa utajifunza kitu kutoka kwa GT. MUNGU AKUBARIKI SANA.
Tumeingiliwa...