tope pondwa
Member
- Jul 17, 2011
- 50
- 4
dah!hapo ndio m2 unakua na ndoto za kwenda udsm,sua au mzumbe unajikuta ume2pwa muccobs,tumaini au kwingne tena kwa kozi la ajabu ajabuNilickia tetesi eti, walifanya selection ila baadh ya vyuo vimelalama wamepangiwa wanafunzì wachache, kutokana na mwaka huu ufaulishaj ulishuka, hvyo jamaa wakaamua kufanyia kaz hayo malalamiko.
shangaaaa!yan hapa kwe2 tz kila k2 ni siasa 2.sasa kweli inaingia akilini kupanga wanafunzi wachache chuo fulani ikiwa kila chuo kina adm capacity?ni wazushi wakubwa!!! Sasa m2 utajiandaa muda gani ikiwa masomo yanaanza septemba km alivyotangaza waziri wa elimu?
hv we dogo unasoma chuo gan njoo mtaani uangalie magraduate wanavyoangaika bila kujali huyu ni wa muccobs, udsm, udsm o what! Sasa dogo we unasema watakupeleka hvy vyuo ulivyosema huvipend lakn c kunakoz uliomba hapo, njoo mtaani utatukuta ma graduate wa miaka mingidah!hapo ndio m2 unakua na ndoto za kwenda udsm,sua au mzumbe unajikuta ume2pwa muccobs,tumaini au kwingne tena kwa kozi la ajabu ajabu
hawa wa2 cjui wakoje hawaeleweki km tanesco kwa mtaji huu nchi hii ha2tafika wa2 wanasema 1st wik ya july lkn mpaka na leo hamna ki2..dah??
mkuu,nimetolea mfano 2,usidhan nimevidharau hvo vyuo!hv we dogo unasoma chuo gan njoo mtaani uangalie magraduate wanavyoangaika bila kujali huyu ni wa muccobs, udsm, udsm o what! Sasa dogo we unasema watakupeleka hvy vyuo ulivyosema huvipend lakn c kunakoz uliomba hapo, njoo mtaani utatukuta ma graduate wa miaka mingi
ok ila kwa mfumo uliopo czan kama kuna chuo kina coz mbaya bt what we look foward ni fulsa za ajira, so ndo cha muhimu, na kuajiliwa kunategemeana how competent u are in your field not chuo na kamlete fulani, ndo mtaani kulivyo.mkuu,nimetolea mfano 2,usidhan nimevidharau hvo vyuo!
dah!hapo ndio m2 unakua na ndoto za kwenda udsm,sua au mzumbe unajikuta ume2pwa muccobs,tumaini au kwingne tena kwa kozi la ajabu ajabu
asante kwa kunikosoa mkuu bt nimetolea mfano 2..ckua na maana mbaya as ukiangalia vyuo ka udsm,sua na mzumbe ndo madent weng huwa wanavishobokea.Oya dogo taratibu ati...kwani MuCCoBS na Tumaini sio vyuo!?? na kaa ukijua hakuna kozi inayofundishwa isiyo ya maana, au 'ya ajabu ajabu' kama ulivyoiita!!
Jamani wanajamii hivi matokeo ya selection ya vyuo vikuu vya Tanzania wametoa ama mpaka nac wahtimu wa fom siksi tuandamane??
kwa jinsi nilivyowasoma hawa vijana makini tatizo lao kubwa wamechukia kwa nini wadanganywe na tcu kuwa results zitatoka mid of july mpaka saivi bado,siyo ufunguzi wa vyuo,tatizo ni udanganyifu tuuu.Vyuo vinafungua mwezi wa 10 wewe wasiwasi wako upo wapi?
Spot on,wengi wanafikiria kufupisha maneno ndio ujanja!Kweli inachefua roho kabisa.Uvivu kila sekta hautatufikisha mbali.Hizo abbreviations zinatia kinyaa. Msomi hafanyi vitu vya hivyo. Unawafundisha nini wadogo zako, kuchafua lugha.
KWELI TCU WAPO NYUMA KITEKNOLOJIA,MPAKA SASA WAMESHINDWA KUTOA SELECTION.FAMILIA NYINGI ZA KITANZANIA ZINAHITAJI MAANDALIZI YA MUDA MREFU ILI KUWEZA KUJIKIMU PALE ANAPOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO PALE ANAPOSUBILI KAMKOPO.Tanzania tupunguze siasa katika mambo yanayohitaji utalaamu hapo tutapata maendeleo ya kweli.vinginevyo maendeleo kwetu itakuwa ndotoJamani wanajamii hivi matokeo ya selection ya vyuo vikuu vya Tanzania wametoa ama mpaka nac wahtimu wa fom siksi tuandamane??
sio tcu hata heslb wanatakiwa wajipange vizuri katika kazi zao,july ni mwezi mzuri wa kutoa selection za tcu na heslb kwa pamoja ili mwanafunzi na mzazi wa Tanzania ajiandae kifedha na kisaikolojia kujiunga na elimu juu. Kwa mfano mm natarajia kuanza MA mwezi wa kumi na nimeshaona selection na naendelea na mchakato wa kuzichanga tu.KWELI TCU WAPO NYUMA KITEKNOLOJIA,MPAKA SASA WAMESHINDWA KUTOA SELECTION.FAMILIA NYINGI ZA KITANZANIA ZINAHITAJI MAANDALIZI YA MUDA MREFU ILI KUWEZA KUJIKIMU PALE ANAPOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO PALE ANAPOSUBILI KAMKOPO.Tanzania tupunguze siasa katika mambo yanayohitaji utalaamu hapo tutapata maendeleo ya kweli.vinginevyo maendeleo kwetu itakuwa ndoto