Tcu.

Joined
Mar 24, 2012
Posts
32
Reaction score
4
Wadau habari zenu? Je ni nani amesha-apply kwa njia ya CAS ya TCU halafu yeye antumia equivalent qualification ya diploma? Kuna jambo linanisumbua katika ku-register, ninaweka registration number ya diploma inkataa kwamba haipo katika record zao, any idea pplzzz? Thanx in advance.
 

Aisee nami inanisumbua hiyohiyo je umeshajaribu kuwapigia simu kwa namba zao walio zitoa hapo juu?
 
mpaka tar 7 may ndo mtawez nw n 4m 6 tu ndo wanaweza.
 
nijuavyo mimi chuo mfano sua equivalent wana apply moja kwa moja chuoni na co kupitia tcu
 
jaribu pia kuona kama miaka ya kumaliza masomo iko within requirement na ufaulu uko in line na wanavyotaka - guide book 2012/2013
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…