tcu

RepedyJ

New Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Jaman how are you, ukishalipa(50,000/= TCU CAS kwa ajil ya kuomba vyuo) kuna vocha unapewa mimi najaribu kuitumia bila mafanikio na marafiki wanasema wametumia namba ya uthibitsho, vipi wakuu inakuwaje?
 
Kwani umelipa kwa kutumia system gani maana kama ni simu na uko mtandao wa vodacom tangazo lililoko kwenye mtandao lilikosea namba ya kampuni na wahusika nashani hawajaliona hili. tumia namba ya kampuni iliyoandikwa kwa TIGO. utapokea uthibitisho kutoka vodacom M-pesa na baadaye TCU watakutumia voucher namba habari ya namba yako ya mtihani ya form four yenyewe nadhani unakumbuka na mwaka pia
 
Kama ww ni form six leaver umelipia tcu subiria huwa inazingua lkn kama ni diploma umelipia TCU umekula kwako
 

Namba sahihi ni ipi mkuu? kwenye guide book yao wameweka namba hii 240077
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…