Hii umeiburuza kutoka wapi, jamaa unayo matatizo kwa kweli.
Data zenyewe unaleta za 2004, miaka 14 iliyopita wakati Kenya ilikua inaorodheshwa kwenye nchi maskini kama Tanzania.
Walimu wa Kenya na madaktari wanalipwa vizuri kuliko wengine wote ukanda huu wa EAC na Kati.
Kenya namba tatu Afrika kwa mishahara mizuri kwa walimu, mnaiga ndovu mtachana misamba nyie.
Tell us you're not just trying to grab headlines here! Check where Kenya now stands vis a vis the rest of the world..we're in 2018 man! The 2004 data cannot even pass as text-book study case unless Kenya has been static ever since that forsaken stuff was posted.