DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Teaching aid si neno geni katika sekta ya elimu hasa kwa walimu.
Hiki ni kitu kidogo sana lakini huwa kinaleta shida hasa kwa walimu walio ajiriwa, uandaaji wa vitu hivi umekuwa shida kweli.
Tatizo nini walimu, kitu gani/mambo gani yanapelekea tusiwe tunaandaa vitu hivi muhimu?
Hilo moja, pili, kila shule inatakiwa kuwa na chumba maalum kwaajili ya kuhifadhia hizi teaching aid, maana unakuta chache zilizobahatika kutengenezwa (hasa na walimu wa field) zinabaki zina zagaa zagaa tu na mwishowe kuharibika.
Walimu, mnajua umuhimu wa teaching aid, japokuwa watoto wetu siku hizi hawajui kusoma vizuri basi tujitahidi kuwatengenezea teaching aid maana kwa kuona wataelewa tunacho wafundisha.
Ni hayo tu walimu.
Hiki ni kitu kidogo sana lakini huwa kinaleta shida hasa kwa walimu walio ajiriwa, uandaaji wa vitu hivi umekuwa shida kweli.
Tatizo nini walimu, kitu gani/mambo gani yanapelekea tusiwe tunaandaa vitu hivi muhimu?
Hilo moja, pili, kila shule inatakiwa kuwa na chumba maalum kwaajili ya kuhifadhia hizi teaching aid, maana unakuta chache zilizobahatika kutengenezwa (hasa na walimu wa field) zinabaki zina zagaa zagaa tu na mwishowe kuharibika.
Walimu, mnajua umuhimu wa teaching aid, japokuwa watoto wetu siku hizi hawajui kusoma vizuri basi tujitahidi kuwatengenezea teaching aid maana kwa kuona wataelewa tunacho wafundisha.
Ni hayo tu walimu.