Teaching post

mfereji maringo

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
1,041
Reaction score
257
Jamani hivi serikali imeshindwa kuwaajiri walimu wapya wa shahada na stashahada?
 
Haina pesa za kuwalipa zote ziliishia kny uchaguzi
 
kulikuwa na mgogoro baina ya wizara ya elimu na wizara inayohusika na ajira. Wizara ya elimu inataka hata wale ambao wana suplimentary waajiriwe ila wale wa ajira wakadai kuwa wataajiri wale waliofaulu masomo yote tu. Hata hivyo wameyamaliza na hata wale wenye sup wataajiriwa ila ndio wa mwisho. Wengine watapaswa kufaulu masomo yote ndio waajiriwe. Mwezi huu mtaingia kazini jipange dogo!
 
Laiti ungejua kuwa kila mahali, yaani unaambiwa ukingia kwenye wizara hizo hakuna hata karatasi za printing....mkwere kamaliza pesa kwenye uchakachuaji!!!
 
Laiti ungejua kuwa kila mahali, yaani unaambiwa ukingia kwenye wizara hizo hakuna hata karatasi za printing....mkwere kamaliza pesa kwenye uchakachuaji!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…