Kilimo Kwanza
Member
- Jul 20, 2010
- 49
- 20
Habari wajameni.
Nasikia wakulima wa miti ya mitiki(Teak) huko moro wanaongelea CRDB bank wanatoa mikopo kwa dhamana ya hiyo miti, wanasema miti yenye umri wa kuanzia miaka 3 na kuanzia hekari 1 wanakupa mkopo.
Je Kuna yo yote anayefaham km hili jambo ni kweli?
Nasikia wakulima wa miti ya mitiki(Teak) huko moro wanaongelea CRDB bank wanatoa mikopo kwa dhamana ya hiyo miti, wanasema miti yenye umri wa kuanzia miaka 3 na kuanzia hekari 1 wanakupa mkopo.
Je Kuna yo yote anayefaham km hili jambo ni kweli?