Team arts

Team arts

Kweli aiseee... Maajabu ya serkali kuwanyima fursa za kozi nzuri kwa wana Arts na akat vyuo vya nje watu wanasoma tu sasa sijui wanataka wanaArts wote wawe walimu au?
 
Kweli aiseee... Maajabu ya serkali kuwanyima fursa za kozi nzuri kwa wana Arts na akat vyuo vya nje watu wanasoma tu sasa sijui wanataka wanaArts wote wawe walimu au?

cha muhimu kujipanga na kujielewa tu mkuu
 
Kusoma na kuwa mbunifu! Halafu sio kusema kwamba hamtapata mtapata tuu hata mwaka juzi walisema pia no loan bt vijana wakapata
 
Non priority ni mbwembwe tuu... wa2 wanapta mkopo kila mwaka...
 
khaaa zile enzi.za kuandika essay 5 ktk histr kwa kweli nikikumbuka duuu
 
Wakuu
Mimi pia ni mwanaArts, nipo kidato cha sita nasoma HGL, HIvyo naombeni ushauri juu ya faculty nzuri ambayo nitaweza kuisoma chuoni ni ipi?
 
Back
Top Bottom