1. Team TAL wafuasi/mashabiki wake wanapima integrity na Ethics yake kwa kutumia KIWANGO CHA UKUBWA WA KUWALAUMU/KUWASINGIZIA/KUWABAGAZA WENZAKE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA kama aliyokuwa anafanya Lytonga Mrema.
WANASAHAU KUWA: ALL THAT NEED EVIDENCE TO PROVE........which is not forthcoming as of today, now!
2. Team FAM washabiki wake wanapima integrity na ethics zake kwa kutumia past performance yake kwa miaka 20 ndani ya chadema may be na maslahi yao akiwepo FAM.
Wanasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MONOTONY! AND EVOLUTION OF NEW IDEAS
Which way forward then between the TWO?
WANASAHAU KUWA: ALL THAT NEED EVIDENCE TO PROVE........which is not forthcoming as of today, now!
2. Team FAM washabiki wake wanapima integrity na ethics zake kwa kutumia past performance yake kwa miaka 20 ndani ya chadema may be na maslahi yao akiwepo FAM.
Wanasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MONOTONY! AND EVOLUTION OF NEW IDEAS
Which way forward then between the TWO?