Wewe unasemaje? Tuanze na mtazamo wako kwanza.Which way forward then between the TWO?
1. Team TAL wafuasi/mashabiki wake wanapima integrity na Ethics yake kwa kutumia KIWANGO CHA UKUBWA WA KUWALAUMU/KUWASINGIZIA/KUWABAGAZA WENZAKE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA kama aliyokuwa anafanya Lytonga Mrema.
WANASAHAU KUWA: ALL THAT NEED EVIDENCE TO PROVE........which is not forthcoming as of today, now!
2. Team FAM washabiki wake wanapima integrity na ethics zake kwa kutumia past performance yake kwa miaka 20 ndani ya chadema may be na maslahi yao akiwepo FAM.
Wanasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MONOTONY! AND EVOLUTION OF NEW IDEAS
Which way forward then between the TWO?
Acha uongo wewe, TAL alipochukua form, watu wanaomuunga mkono walisifu uamuzi huo na wakaisifu sana CHADEMA. Hakusikika yeyote na popote akimbagaza Mbowe. Kubagaza kulianzishwa na Mashabiki wa Mbowe tena wengine wakiwa ni viongozi na wajumbe wa Kamati Kuu ambapo walianza kumdhihaki na kumdharirisha TL.1. Team TAL wafuasi/mashabiki wake wanapima integrity na Ethics yake kwa kutumia KIWANGO CHA UKUBWA WA KUWALAUMU/KUWASINGIZIA/KUWABAGAZA WENZAKE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA kama aliyokuwa anafanya Lytonga Mrema.
WANASAHAU KUWA: ALL THAT NEED EVIDENCE TO PROVE........which is not forthcoming as of today, now!
2. Team FAM washabiki wake wanapima integrity na ethics zake kwa kutumia past performance yake kwa miaka 20 ndani ya chadema may be na maslahi yao akiwepo FAM.
Wanasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MONOTONY! AND EVOLUTION OF NEW IDEAS
Which way forward then between the TWO?
Ntobo na Yeriko Nyerere 🐼Acha uongo wewe, TAL alipochukua form, watu wanaomuunga mkono walisifu uamuzi huo na wakaisifu sana CHADEMA. Hakusikika yeyote na popote akimbagaza Mbowe. Kubagaza kulianzishwa na Mashabiki wa Mbowe tena wengine wakiwa ni viongozi na wajumbe wa Kamati Kuu ambapo walianza kumdhihaki na kumdharirisha TL.
Hivyo kajipanga upya na story zako. Mmeona mchezo mliouanzisha umepalieni, mmeanza kuutema...
Kaandika Eric kuwa Shjaa wako , alimpiga Bensaanane risasi mwenyewe alipoletwa mbele yake kwa amri yake. Mwili wake ulitupwa Mto rufiji2021 alikimbilia Kenya kujificha akimuogopa Mwenyekiti wa CCM Shujaa Magufuli
Jikite kwenye hoja..................... hatupo kwenye english class!Vingereza vingi kumbe Mashudu tupu