Team Kiduku tunamtaka Mwakinyo tumchakaze

Team Kiduku tunamtaka Mwakinyo tumchakaze

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule.

Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza
 

Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule.

Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza

Badala ya focus iwe kupigana na mabondia wa nje wewe unataka apigane na Mwakinyo Kisha upate nn?
 
We jamaa unabwabwaja nyuma ya keyboard , huna pesa,weka pesa za kumwaga uone watu wakizichapa, sasa unalalama kama ng'ombe wa mayele bwana bure unajichosha na kutuchosha.
Wewe mla urojo ndio unabwabwaja, sponsors kibao wapo tayari ila Mwakinyo ndo anaogopa. Au mnataka tuwatongoze?
 

Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule.

Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza

Muambie apunguze uzito alafu aombe pambano.
 
Mwakinyo huyo wa kupigana na viwete ndio ampige Kiduku?

Over my dead body kmmqe,
Hamuwezi kamwe,unaona tu hata watu anaoletewa Kiduku apigane nao wana uwezo sio huyo bishoo,mla urojo,Mwakinyo mtoto wa mama,hata mimi namkalisha mchumba tu huyo
 
Tatizo mna danganya na mwili wa twaha kiduku mnamdharau mwakinyo mumpige juju morogoro mpate jina ila kwa ngumi twaha hamuwezi mwakinyo labda aende kwa yule mzee alie wasaidia yanga wasifungwe magoli 13 na simba kipindi cha uchebe.
 
Mwakinyo huyo wa kupigana na viwete ndio ampige Kiduku?

Over my dead body kmmqe,
Hamuwezi kamwe,unaona tu hata watu anaoletewa Kiduku apigane nao wana uwezo sio huyo bishoo,mla urojo,Mwakinyo mtoto wa mama,hata mimi namkalisha mchumba tu huyo
Sasa kama kiduku anajua ngumi si aende nje akapigane na mabindia wa nje wenzake kwani mwakinyo jina kalipata Tanzania mbona mnataka mserereko uliza jina la utani la mwakinyo halafu uambiwe maana yake ndio utajua huyo kiduku anataka mserereko tu hana lolote

Nipo makorora hapa karibu na kwanjeka njooni mnakamate watu wa dakawa na msamvu.
 
Sasa kama kiduku anajua ngumi si aende nje akapigane na mabindia wa nje wenzake kwani mwakinyo jina kalipata Tanzania mbona mnataka mserereko uliza jina la utani la mwakinyo halafu uambiwe maana yake ndio utajua huyo kiduku anataka mserereko tu hana lolote

Nipo makorora hapa karibu na kwanjeka njooni mnakamate watu wa dakawa na msamvu.
Mtoto mlaini anawapiga wadhaifu huyo,amini nakuambia,akipata sponsor ni zaidi ya Mwakinyo
 

Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule.

Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza
Tumalize kwanza lile pambano kati ya Mayele vs Kibudenge nani zaidi?
 
Kwahiyo Twaha yeye hawezi kupanda juu bila kupigana na Mwakinyo? Mbona inaonyesha huyo bondia na management yake nzima wana mindset za ovyo sana
 
Back
Top Bottom