I appreciate kazi nzuri ya JINGALAO.. MWANADIWANI and Mr CHIN...... you guys were the stars..... I salute you guys..... mlikuwa mnapambana na kundi la maharamia 160 ambao full time walikuwa wako online wakitumia AVTAR tofauti tofauti lakini mliweza kuwabana nisha...... NIMEMALIZA KAZI YANGU KANDA YA ZIWA ....narudi katika maisha yangu ya kawaida na sitasikika mara kwa mara tena kwenye huu ulingo...I will miss you guys big time!
Faiza Foxy huwezi kumuacha katika kundi hili. Yeye alikuwa jembe langu ktk kupambana na mazombie.Ni wazi ndani ya JF kulikuwa na battle kubwa ya kushawishi umma nani ni nani kati ya Rais mteule Magufuli na mshindwa Lowassa.
Team Magufuli kwa kifupi iliwakilishwa na
mimi mwenyewe, MwanaDiwani Mr Emmy Mr Chin na @kwedi kwezu
nawaalika wote tuje kushangilia ushindi
Ni wazi ndani ya JF kulikuwa na battle kubwa ya kushawishi umma nani ni nani kati ya Rais mteule Magufuli na mshindwa Lowassa.
Team Magufuli kwa kifupi iliwakilishwa na
mimi mwenyewe, MwanaDiwani Mr Emmy Mr Chin na @kwedi kwezu
nawaalika wote tuje kushangilia ushindi
mulifanya kazi nzuri sana,mujikusanye kesho nikawambulishe kwa muheshimiwa pale ikulu