Pre GE2025 Team Mbowe hadi leo hii hawajawaambia Wanachadema wanaenda kufanya nini wakipewa nafasi

Pre GE2025 Team Mbowe hadi leo hii hawajawaambia Wanachadema wanaenda kufanya nini wakipewa nafasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Aiseeh!

Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.

Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.

Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.

Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.

Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.

Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.

Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.

Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%

Haya!
 
Hii ngoma mtaicheza mpaka mkatike viuno

Kumbe inawezekana😃😃
 
Aiseeh!

Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.

Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.

Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.

Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.

Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.

Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.

Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.

Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%

Haya!
Kuna mtu wa CHADEMA kaniambia kuwa Lisu ndiye anakubalika. Mbowe keshanunuliwa na Mama Abdul kwa hiyo hakubaliki tena ndani ya CHADEMA. Nami namshauri Mbowe bora akubali matokeo kwa maslahi mapana ya Demokrasia nchini. CHADEMA inahitaji kufufuka upya hivyo inahitaji uongozi mpya!
 
Eti
Aiseeh!

Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.

Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.

Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.

Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.

Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.

Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.

Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.

Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%

Haya!
yericko na Ntobi ndiyo wanaenda kwenye mdahalo😄😄
 
Aiseeh!

Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.

Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.

Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.

Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.

Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.

Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.

Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.

Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%

Haya!
Hakujipanga alijua kiti ni chake mpaka afie hapo hapo amrisishe mtu wa ukoo wake sasa LISSU kamfuata huko huko juu. Unategemea nini kama.sio maumivu na masononeko na kuanza kuleta habari za kumsaidia LISSU
 
Hakujipanga alijua kiti ni chake mpaka afie hapo hapo amrisishe mtu wa ukoo wake sasa LISSU kamfuata huko huko juu. Unategemea nini kama.sio maumivu na masononeko na kuanza kuleta habari za kumsaidia LISSU

Shambulizi la kushtukiza ufanisi wake ni 90%
Ndicho tunachokiona
 
Aiseeh!

Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.

Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.

Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.

Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.

Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.

Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.

Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.

Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%

Haya!
chama cha kwetu mnataka tuwaambie nini? kama hutaki hama chama
 
Wao hoja yao kubwa ni kwamba wanaenda kulinda Kikoba cha Mwenyekiti basi

Yaani bora Chama kikose uungwaji Mkono wa Wananchi wengi lakini Mwenyekiti aendelee Kwa nafasi yake Kwa miaka 5 ijayo
 
Back
Top Bottom