Aiseeh!
Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.
Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.
Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.
Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.
Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.
Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.
Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.
Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%
Haya!
Surprised attack Lissu alichanga karata zake vema kabisa kwa kuanza kutia nia nafasi ya umakamo,Mbowe akajua basi kiti Cha ufalme ni chake (business as usual) mara ghafla Wenje anakuja na blabla team Lissu wakajua tayali mtengo umenasa chap chap mpango Kazi uka change kumfuata Mfalme mkuu ambaye alikuwa ame relax.
Na yule wa mkoa wa Mara akaambiwa mfuate yule wa Mwanza ambaye ni dalali wa pesa chafu ndani ya chama.
Cha kufurahisha Hadi kwao Kilimanjaro wamemkataa MUGABE
Watu hawaamini πππShambulizi la kushtukiza ufanisi wake ni 90%
Ndicho tunachokiona
Watu hawaamini πππ
Mbowe ameifanyia Chadema mambo makubwa sana, ni mtu aliyekosa shukrani anayetamani Mbowe atoke madarakani.Aiseeh!
Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.
Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.
Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.
Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.
Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.
Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.
Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.
Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%
Haya!
Mbowe ameifanyia Chadema mambo makubwa sana, ni mtu aliyekosa shukrani anayetamani Mbowe atoke madarakani.
Hahah noma sanaπππ
Yaani mapigo ya hivyo hutumiwa zaidi na Tiger, au Chatu.
Unashangaa tuuu vaaap! Ukiwa umepagawa Mjinga anakulamba koo Lako likiwa hatihati
Aiseeh!
Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya.
Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa walikuwa na shauku kubwa ya kumsikia anampango upi mpya akipewa nafasi lakini Maskini Kwa bahati mbaya Hilo halikutokea.
Mbowe na team yake ni kama imezidiwa kwa mashambulizi na hivyo kama kwenye vita imewapa mgongo washindani wake. Hivyo Team Lisu haipati shida ya kujipigia sehemu yoyote.
Yaani kama kwenye Mpira tunasema Team Mbowe imepaki Basi, inatumia nguvu kubwa kuzuia na kujihami huku Mpira ukichezwa nusu ya uwanja. Kwa Mchezo ulivyo kama ingekuwa Mpira Basi team Mbowe Hapanahapana wataondoka wamebamizwa magoli sio chini ya matano.
Sisi wengine hatuamini katika Mbinu wa kujihami, tunaamini katika Mbinu ya kushambulia kwa adui kadiri inavyowezekana. Yaani hatupendi kumuachia adui nafasi ya kufikiri cha kufanya. Ni Moto tuu.
Mbinu hii ni nzuri na hutumiwa zaidi na wanyama wakali kama Tiger.
Shambulia kutoka Kaskazini,
Akishangaa huku unatuma jingine na jingine kutokea Magharibi, hayajaisha haya umemtumia kifurushi cha mashariki. Mwisho adui anatepeta, amechanganyikiwa hajui azuie wapi, hajui afanye nini.
Anaishia kulalama na kukimbia katika uwanja wa mapambano.
Mbinu ya kushambulia non-stop hutumika zaida na huwa na ufanisi kwenye shambulizi la kushtukiza. Na mara nyingi mbinu hii hufanya Kazi kwa asilimia 90%
Haya!
Huu ni ukweli na cha ajabu hili swali hawamuulizi Mbowe
Atafanya kitu gani tofauti ya aliyofanya kwa miaka 20? Sasa kama hana lipya ni kwanini achaguliwe