Team naomba Msaada kwa mwenye uzoefu na Mercedes Benz ML 270 CDI

mmakua

Member
Joined
Nov 2, 2013
Posts
62
Reaction score
7
Team naomba Msaada kwa mwenye uzoefu na Mercedes Benz ML 270 CDI (Diesel)kuchelewa kuwaka
 
Jaribu kuweka mafuta zaidi ya nusu tank. Weka full tank au angalau 3/4 ya tank. Then jaribu kuwasha tena. Kama ikiwaka vizuri, unaweza kuishi nayo hivyo. Ila hiyo shida mara nyingi itakuwa kwenye fuel injectors. Sijui unaishi mkoa gani kujua hali ya hewa, but nahisi hilo tatizo linatokea mara nyingi muda wa asubuhi gari likiwa limepoa.
 
Naishi Dar changamoto kubwa ni kwamba engine ukipata moto kama umetembea umbali fulani engine ikipata moto ukizima kuwasha tena ni shida sana
 
Huwenda cylinder head imekuwa warped. Hiyo gari umekuwa nayo makini katika coolant?

The repair could be just a head job to a completely new engine.
 
Haijawahi kuguswa engine kwa kubadilishwa chochote na cylinder head haijawahi kufanyiwa chochote since nimekua nayo
 
Haijawahi kuguswa engine kwa kubadilishwa chochote na cylinder head haijawahi kufanyiwa chochote since nimekua nayo
Kama kuuza unaweza muachia mtu kwa pesa ngap mkuu?
 
Anayeihitaji ni hadi aje aikague aone tatizo then tu negotiate hii ninayo na haina ubabaishaji wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…