Team wydad tujuane hapa pls tupange mikakati ya kesho....

Team wydad tujuane hapa pls tupange mikakati ya kesho....

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Tukielekea uwanjan kesho naomba tm wydad tujuane. Mapema jamani

Ntakuwa.kwenye kontena letuu pendwaa nyumaa ya.jezi ya wydad nimeandika pdidy

Cya on time saa saba ntakuwa taifa napasha safari zetu nje kontena

Adbest
wydady
Rgds. Pdidy
 
Ushanunua Jezi?

Yanga Wana hasira baada ya kugundua kuwa waliokunywa ile supu hawana msaada wowote ule kwa timu.
 
Hatutaki kusikia kauli za ooh hawa warabu ni wabovu
GAm1Wg4XoAALmrZ.jpeg
 
😆 😂 😆 😂 😆 😂 tupokazini mjipange
Mlipokunywa supu mlidhani wale ng'ombe hawakununuliwa??

Mlipokuwa mnakunywa supu pale pembeni hamkuona kama Kuna Jezi mnatakiwa kununua??

Yaani mtu anakunywa bakuli mbili za supu halafu anasepa kama vile Ile nyama iliokotwa vingunguti!!!
 
Back
Top Bottom