balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 15,771 Reaction score 14,294 Jun 10, 2018 #21 mankachara said: hivi diamond akipewa mpira anweza kupiga dane dane 2 (control 2) bila mpira kuanguka kweli Click to expand... Ataunyea nyea kama kaka yake Makonda AKA DAB alivyopiga ile penati.
mankachara said: hivi diamond akipewa mpira anweza kupiga dane dane 2 (control 2) bila mpira kuanguka kweli Click to expand... Ataunyea nyea kama kaka yake Makonda AKA DAB alivyopiga ile penati.
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,863 Reaction score 2,757 Jun 10, 2018 #22 Ila nimeshangaa hii DAB hajaikamatia kuifanya ni kiki yake. Inaonekana kiba na samata hawamfagilii KBS.
Ila nimeshangaa hii DAB hajaikamatia kuifanya ni kiki yake. Inaonekana kiba na samata hawamfagilii KBS.
balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 15,771 Reaction score 14,294 Jun 10, 2018 #23 pachachiza said: Ila nimeshangaa hii DAB hajaikamatia kuifanya ni kiki yake. Inaonekana kiba na samata hawamfagilii KBS. Click to expand... Hao wanajitambua hawategemea kubebwa.
pachachiza said: Ila nimeshangaa hii DAB hajaikamatia kuifanya ni kiki yake. Inaonekana kiba na samata hawamfagilii KBS. Click to expand... Hao wanajitambua hawategemea kubebwa.
Mdomo bakuli JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 3,442 Reaction score 7,007 Jun 10, 2018 #24 Team kibamia ni ya kushindwa daima