Watu wengi nimekuwa nikisoma thread zao humu kuhusiana na cryptocurrency, METAVERSE na NFT
Nimegundua vitu vifuatavyo
1. Watu wengi wamepitia changamoto nyingi sana katika utafutaji wao hasa online Hustler kiasi kwamba wameibiwa pesa zao na Kisha kupoteza matumaini Tena za vitu vyovyote vinavyohusu kuingiza kipato kwa njia za mitandao wakiamini ni scarm(utapeli)
2.watu wengi wanashida ya lugha
Yaani vitu vingi vinavyohusu utengenezaji wa pesa mtandaoni au vya kiteknolojia maelezo/mafunzo yake hupatikana kwa lugha ya kiingereza kitu ambacho kinachangia mtu kutofanya utafiti wa kutosha katika Hilo jambo maana hakuna maelezo yanayoweza kumwelezea kwa undani na akalielewa Hilo jambo
3. Tamaa,
Watanzania wengi Wana tamaa ya kufanikiwa haraka kiasi kwamba akiingia katika fursa Fulani asipoona matunda ya kile alichotarajia tayari anaanza kuimba sizitaki mbichi hizi na huku akiishia kusema ni utapeli
4. Kuamini katika nguvu na sio akili
Tulipokuwa shuleni tulijifunza aina za kazi kuwa Kuna zile zinazotumia akili na zile ambazo mtu hutumia nguvu lakini zote hizi ni kazi kikubwa ni kuchagua ww uwe upande gani kulingana na matunda unayoyapata au kutarajia kuyapata
So leo nimekuja na mada inayohusu cryptocurrency,metaverse na NFT
.
Tukianza na cryptocurrency
Cryptocurrency ni sarafu za kidigtal ambazo huwezi kuzishika kw mkono au kuziona kwa macho yenyewe utaona digit tu ambazo zimepewa thamani sawa na fedha ya kawaida na cryptocurrency inaweza kupanda au kushuka thamani yake kwa kulingana na supply and demand ya hio coin yaani uhitaji ukiwa mkubwa Basi thamani huongeza na uhitaji ukiwa mdogo Basi thamani hupungua
Cryptocurrency pia hutunzwa katika platform maalumu ambazo ni digital wallets kama vile remitano,block chain, trustwallets n.k na huweza kutumwa au kupokelewa mahali popote pale duniani bila kujari umbali wake na tayari Kuna baadhi ya nchi zimehalalisha matumizi ya sarafu mtandao Kama fedha Halali kwa malipo ya bidhaa mbalimbali yaani unaweZa ingia dukani kununua chumvi na ukalipa kwa cryptocurrency .
METAVERSE
Kama tujuavyo dunia haijasimama bado Inaenda kwa kasi tayari imekuja teknolojia mpya ambayo inaitwa METAVERSE na hili neno limetokana na maneno mawili yaani META lenye maana ya beyond na VERSE lililotokana na neno UNIVERSE na kuleta neno moja ya METAVERSE
Pia sababu ya mmiliki wa kampuni ya Facebook (Facebook, Instagram na WhatsApp ) ameweza kubadili jina la kampuni platform zake kutoka Facebook na kuitwa META kwa sababu dunia saivi inaelekea huko pia tajiri mkubwa dubiani ELON MUSK aliwahi kusema if you died in METAVERSE you died in real-world
Hii ni teknolojia ambayo mtu anaweza kununua kiwanja ,na anaweza kujenga na kupandisha vyumba u kujenga hotel au kwenda kucheza magame na shughuli zingine nyingi lakini katika virtual world
Nitakuja kueleza namna gani mtu anaweza kunufaika na hii kitu hasa kwa sisi watanzania
NFT
hii inaitwa non-fungible token na mtu yeyote anaweza kutengeneza na kumint nft yake na kuiuza kwenye masoko yake Kama opensea au kupitia exchange Kama binance nitakuja kuzichimba kwa undani zaidi hapo baadae
Nimegundua vitu vifuatavyo
1. Watu wengi wamepitia changamoto nyingi sana katika utafutaji wao hasa online Hustler kiasi kwamba wameibiwa pesa zao na Kisha kupoteza matumaini Tena za vitu vyovyote vinavyohusu kuingiza kipato kwa njia za mitandao wakiamini ni scarm(utapeli)
2.watu wengi wanashida ya lugha
Yaani vitu vingi vinavyohusu utengenezaji wa pesa mtandaoni au vya kiteknolojia maelezo/mafunzo yake hupatikana kwa lugha ya kiingereza kitu ambacho kinachangia mtu kutofanya utafiti wa kutosha katika Hilo jambo maana hakuna maelezo yanayoweza kumwelezea kwa undani na akalielewa Hilo jambo
3. Tamaa,
Watanzania wengi Wana tamaa ya kufanikiwa haraka kiasi kwamba akiingia katika fursa Fulani asipoona matunda ya kile alichotarajia tayari anaanza kuimba sizitaki mbichi hizi na huku akiishia kusema ni utapeli
4. Kuamini katika nguvu na sio akili
Tulipokuwa shuleni tulijifunza aina za kazi kuwa Kuna zile zinazotumia akili na zile ambazo mtu hutumia nguvu lakini zote hizi ni kazi kikubwa ni kuchagua ww uwe upande gani kulingana na matunda unayoyapata au kutarajia kuyapata
So leo nimekuja na mada inayohusu cryptocurrency,metaverse na NFT
.
Tukianza na cryptocurrency
Cryptocurrency ni sarafu za kidigtal ambazo huwezi kuzishika kw mkono au kuziona kwa macho yenyewe utaona digit tu ambazo zimepewa thamani sawa na fedha ya kawaida na cryptocurrency inaweza kupanda au kushuka thamani yake kwa kulingana na supply and demand ya hio coin yaani uhitaji ukiwa mkubwa Basi thamani huongeza na uhitaji ukiwa mdogo Basi thamani hupungua
Cryptocurrency pia hutunzwa katika platform maalumu ambazo ni digital wallets kama vile remitano,block chain, trustwallets n.k na huweza kutumwa au kupokelewa mahali popote pale duniani bila kujari umbali wake na tayari Kuna baadhi ya nchi zimehalalisha matumizi ya sarafu mtandao Kama fedha Halali kwa malipo ya bidhaa mbalimbali yaani unaweZa ingia dukani kununua chumvi na ukalipa kwa cryptocurrency .
METAVERSE
Kama tujuavyo dunia haijasimama bado Inaenda kwa kasi tayari imekuja teknolojia mpya ambayo inaitwa METAVERSE na hili neno limetokana na maneno mawili yaani META lenye maana ya beyond na VERSE lililotokana na neno UNIVERSE na kuleta neno moja ya METAVERSE
Pia sababu ya mmiliki wa kampuni ya Facebook (Facebook, Instagram na WhatsApp ) ameweza kubadili jina la kampuni platform zake kutoka Facebook na kuitwa META kwa sababu dunia saivi inaelekea huko pia tajiri mkubwa dubiani ELON MUSK aliwahi kusema if you died in METAVERSE you died in real-world
Hii ni teknolojia ambayo mtu anaweza kununua kiwanja ,na anaweza kujenga na kupandisha vyumba u kujenga hotel au kwenda kucheza magame na shughuli zingine nyingi lakini katika virtual world
Nitakuja kueleza namna gani mtu anaweza kunufaika na hii kitu hasa kwa sisi watanzania
NFT
hii inaitwa non-fungible token na mtu yeyote anaweza kutengeneza na kumint nft yake na kuiuza kwenye masoko yake Kama opensea au kupitia exchange Kama binance nitakuja kuzichimba kwa undani zaidi hapo baadae