Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
actions menu -- menyu vitendo
32-bit -- biti-32
animation -- uhuishaji
application -- programu - tumizi
binary -- jozi
blind carbon copy (bcc) -- nakala fiche
bookmark -- alamisha (-link --alamisho)
calculator -- kikokotoo
chat -- sogoa (chat group -- kundi sogozi)
configuration -- usanidi
control panel -- paneli thibiti
country code -- msimbo nchi
Nimesoma neno "computer" ikitafsiriwa kama "tarakeshi"/"tarakishi"/"tarakilishi". Je, waswahili hutumia maneno haya kwa kweli?
Ni watumiaji wangapi wa kiSwahili walio na kamusi nyumbani/ofisini kwao? Na pia kamusi ya kiSwahili mpya zaidi imetoka lini? (Ile ya TUKI nadhani ina zaidi ya miaka 15 haijazimuliwa).
Ni kweli watumiaji wengi wa kiSwahili (situmii 'Waswahili' kwa sababu jina hilo lina maana zaidi ya moja) hawayatumii maneno mengi tu hasa yale yanayohusiana na sayansi, utabibu, teknolojia n.k.
TUKI wamefyatua kamusi mpya ya kiswahili-kiswahil,ninayo na ni nzur,nenda udsm kwenye jengo la TATAKI,duka la machapisho utaipata,inauzwa elfu 15;ila ubungo terminal yauzwa had elfu kumi,
pia wanatarajia kutoa mpya hiv karibuni ya mambo ya electroniki tuuu