Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Uzi wetu huu wale tunaotumia tecno wereva ni wa kuelezea ni aina gani ya toleo la simu unalotumia ,vipuli vya tecno,matengenezo yake,matatizo na jinsi ya kuovercome,
Bila kusahau brand mbali mbali za simu za tecno na kama unauza Tecno karibu sana hapa jukwaani,
Nb:
Tafadhari wale wa i phone na brand zingine za simu msiweke Coment zenu hapa.
Bila kusahau brand mbali mbali za simu za tecno na kama unauza Tecno karibu sana hapa jukwaani,
Nb:
Tafadhari wale wa i phone na brand zingine za simu msiweke Coment zenu hapa.