TANZIA Ted Kalanda Harrison, Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' au 'Hakuna Matata'afariki Dunia

TANZIA Ted Kalanda Harrison, Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' au 'Hakuna Matata'afariki Dunia

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Msanii wa muziki na Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' maarufu kama 'Hakuna Matata' kutoka Kenya Ted Kalanda Harrison amefariki Dunia Septemba 17, 2024

1726734708767.png
Taarifa ya kifo cha Msanii huyo imethibitishwa na ndugu yake, John Katana akisema Ted amefariki baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu.

Ted amefariki akiwa na umri wa miaka 72 na alikuwa mwanamuziki wa Chakacha, benga na reggae

Aidha mwaka 1972 yeye pamoja na ndugu na marafiki zake walianzisha bendi ya 'Them Mushrooms' jijini Mombasa

Wimbo wa "Jambo Bwana," uliorekodiwa mwaka 1980, umeimbwa katika matoleo 7 tofauti na wasanii mbalimbali ikiwemo kundi maarufu la 'Boney M'

============For English Audience============
Ted Kalanda, Them Mushrooms founding leader and 'Jambo Bwana' composer, dies at 72

Kalanda, who had been battling cancer since 2018, had lost his eyesight at the time of his death.

The deceased will be best remembered for his composition of the evergreen Jambo Bwana hit song.
The song gained international fame and was redone by several artistes both locally and abroad.
Kalanda, whos was an accomplished saxophone player and vocalist, founded Them Mushrooms in 1972.
The group was founded in Mombasa as a family band. It remains one of the longest-surviving Kenyan bands.
In the original group were brothers Teddy Kalanda, George Zirro (deceased), Billy Sarro, Denis Kalume (deceased) and John Katana.
Currently, the group features Katana, Sarro and some session members.
In the late 1980s, the band relocated from Mombasa to Nairobi and released the popular At the Carnivore album.

After a short-lived change of name to yoga Band in 2002, the band readopted its original name.
Other popular songs that the band is known for include Unkula Huu, Wazee Wakatike, Nyambura, Ndogo Ndogo and Hapo Kale.
Kalanda's eldest son, Henry Harrison, is also a musician who is based in Sweden alongside his wife and fellow musician Lioness Afreeka.
Meanwhile, fans of the late Kalanda have paid glowing tribute to the late musician.
Patrick Mkando Farah and David Munga, both of the Rabai Crew Welfare Group, eugolised Kalanda as a huge inspiration to residents of the Coastal region.

Top Kenyan musician and Them Mushrooms founding band leader
Ted Kalanda Harrison is dead
Kalanda, 72, died at his rural home in Kaloleni, Kilifi County after a long battle with cancer.
Kalanda's younger brother, John Katana, who is the current band leader, confirmed the sad news to Nation. Africa on Tuesday.

SOURCE: NATION
 
Msanii wa muziki na Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' maarufu kama 'Hakuna Matata' kutoka Kenya Ted Kalanda Harrison amefariki Dunia Septemba 17, 2024

Taarifa ya kifo cha Msanii huyo imethibitishwa na ndugu yake, John Katana akisema Ted amefariki baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu.

Ted amefariki akiwa na umri wa miaka 72 na alikuwa mwanamuziki wa Chakacha, benga na reggae

Aidha mwaka 1972 yeye pamoja na ndugu na marafiki zake walianzisha bendi ya 'Them Mushrooms' jijini Mombasa

Wimbo wa "Jambo Bwana," uliorekodiwa mwaka 1980, umeimbwa katika matoleo 7 tofauti na wasanii mbalimbali ikiwemo kundi maarufu la 'Boney M'

============For English Audience============
Ted Kalanda, Them Mushrooms founding leader and 'Jambo Bwana' composer, dies at 72

Kalanda, who had been battling cancer since 2018, had lost his eyesight at the time of his death.

The deceased will be best remembered for his composition of the evergreen Jambo Bwana hit song.
The song gained international fame and was redone by several artistes both locally and abroad.
Kalanda, whos was an accomplished saxophone player and vocalist, founded Them Mushrooms in 1972.
The group was founded in Mombasa as a family band. It remains one of the longest-surviving Kenyan bands.
In the original group were brothers Teddy Kalanda, George Zirro (deceased), Billy Sarro, Denis Kalume (deceased) and John Katana.
Currently, the group features Katana, Sarro and some session members.
In the late 1980s, the band relocated from Mombasa to Nairobi and released the popular At the Carnivore album.

After a short-lived change of name to yoga Band in 2002, the band readopted its original name.
Other popular songs that the band is known for include Unkula Huu, Wazee Wakatike, Nyambura, Ndogo Ndogo and Hapo Kale.
Kalanda's eldest son, Henry Harrison, is also a musician who is based in Sweden alongside his wife and fellow musician Lioness Afreeka.
Meanwhile, fans of the late Kalanda have paid glowing tribute to the late musician.
Patrick Mkando Farah and David Munga, both of the Rabai Crew Welfare Group, eugolised Kalanda as a huge inspiration to residents of the Coastal region.

Top Kenyan musician and Them Mushrooms founding band leader
Ted Kalanda Harrison is dead
Kalanda, 72, died at his rural home in Kaloleni, Kilifi County after a long battle with cancer.
Kalanda's younger brother, John Katana, who is the current band leader, confirmed the sad news to Nation. Africa on Tuesday.

SOURCE: NATION
Tupia nyimbo yake kama unayo tumkumbuke
 
Msanii wa muziki na Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' maarufu kama 'Hakuna Matata' kutoka Kenya Ted Kalanda Harrison amefariki Dunia Septemba 17, 2024

Taarifa ya kifo cha Msanii huyo imethibitishwa na ndugu yake, John Katana akisema Ted amefariki baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu.

Ted amefariki akiwa na umri wa miaka 72 na alikuwa mwanamuziki wa Chakacha, benga na reggae

Aidha mwaka 1972 yeye pamoja na ndugu na marafiki zake walianzisha bendi ya 'Them Mushrooms' jijini Mombasa

Wimbo wa "Jambo Bwana," uliorekodiwa mwaka 1980, umeimbwa katika matoleo 7 tofauti na wasanii mbalimbali ikiwemo kundi maarufu la 'Boney M'

============For English Audience============
Ted Kalanda, Them Mushrooms founding leader and 'Jambo Bwana' composer, dies at 72

Kalanda, who had been battling cancer since 2018, had lost his eyesight at the time of his death.

The deceased will be best remembered for his composition of the evergreen Jambo Bwana hit song.
The song gained international fame and was redone by several artistes both locally and abroad.
Kalanda, whos was an accomplished saxophone player and vocalist, founded Them Mushrooms in 1972.
The group was founded in Mombasa as a family band. It remains one of the longest-surviving Kenyan bands.
In the original group were brothers Teddy Kalanda, George Zirro (deceased), Billy Sarro, Denis Kalume (deceased) and John Katana.
Currently, the group features Katana, Sarro and some session members.
In the late 1980s, the band relocated from Mombasa to Nairobi and released the popular At the Carnivore album.

After a short-lived change of name to yoga Band in 2002, the band readopted its original name.
Other popular songs that the band is known for include Unkula Huu, Wazee Wakatike, Nyambura, Ndogo Ndogo and Hapo Kale.
Kalanda's eldest son, Henry Harrison, is also a musician who is based in Sweden alongside his wife and fellow musician Lioness Afreeka.
Meanwhile, fans of the late Kalanda have paid glowing tribute to the late musician.
Patrick Mkando Farah and David Munga, both of the Rabai Crew Welfare Group, eugolised Kalanda as a huge inspiration to residents of the Coastal region.

Top Kenyan musician and Them Mushrooms founding band leader
Ted Kalanda Harrison is dead
Kalanda, 72, died at his rural home in Kaloleni, Kilifi County after a long battle with cancer.
Kalanda's younger brother, John Katana, who is the current band leader, confirmed the sad news to Nation. Africa on Tuesday.

SOURCE: NATION
Apumzike kwa amani
 
Wimbo nilizani n wetu... rest well kazi uliifanya wimbo ndio alama ya utalii.
Hakuna matata...bonge la wimbo
 
Teddy Kalanda Harrison, founder of the legendary Kenyan band Them Mushrooms and composer of the globally-recognized hit “Jambo Bwana,” has died at the age of 72. Harrison passed away at his home in Mombasa after a six-and-a-half year battle with multiple myeloma. Formed in 1972 by Harrison and his brothers, Them Mushrooms gained popularity for their unique blend of folk taarab, sega, and reggae, captivating audiences with hits like “Mombasa Tena” and “Embe Dodo”.

Wimbo nilizani n wetu...​
 
Teddy Kalanda Harrison, founder of the legendary Kenyan band Them Mushrooms and composer of the globally-recognized hit “Jambo Bwana,” has died at the age of 72. Harrison passed away at his home in Mombasa after a six-and-a-half year battle with multiple myeloma. Formed in 1972 by Harrison and his brothers, Them Mushrooms gained popularity for their unique blend of folk taarab, sega, and reggae, captivating audiences with hits like “Mombasa Tena” and “Embe Dodo”.

Embe dodo pia hakika ni nguli wa muziki.
 
Wakuu kuna wimbo mmoja sijajua ni wa the mushroom au laa nakumbuka tu kiitikio chake " Tausi ni weweee kwaheri darling kichwa nimekielekeza kwetu mbali utanikumbuka, dogo dogo sijui nini......... anayeufahamu huu wimbo wakuu pls pls
 
Back
Top Bottom