Tegua kama waweza...

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
461
Ni mtanashati lakini hajijui, ni mpole lakini wengi wa wasichana hawalijui hilo, Amependwa lakini hajui ampendae, amependa kwa asiempenda.....Ni nani huyo?
 
Sio wewe coz umeshasema ni mtanashati ila hajijui!!Ni mkaka unaempenda kama wewe ni mdada..kama sio SAMAHANI!
 
Sio wewe coz umeshasema ni mtanashati ila hajijui!!Ni mkaka unaempenda kama wewe ni mdada..kama sio SAMAHANI!


Lizzy wewe waja sasa, unapigia mstari mimi Bwabwa au?
 
kha.... hata newton alikuwa kilaza mkuu

swali lako fyongo sana na ungeuliza why ningekuambia ni kwanini nimesema mwanaume

Haya mie sijamtaja Newton kaka, kama fyongo ungeliacha kaka lisonge mbele....waelewa wameliona sio fyongo....
 
Hahahaha...ndo maana nimeomba samahani mapema bwana!ngoja nikupe mji mzuri unisamehe...Darfur


Hunitakii mema wewe, yaani unanisukumia Motoni niungue? duh lizzy mwaya acha uchoyo hata mji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…