Tegua kama waweza...

Kama vipi nipeni mji nimtaje huyu mtanashatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...........................
 
Ahh we bwana...sasa unataka kwenda wapi??Njoo Moshi nikupikie mtori!

Alaaaaaaaa lizzy mwaya wewe unataka kwenda Darfur? Bola torabola au afghanistan mtu wangu....
 
Hamna mjanja jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Lizzy Poa nakuja huko kulamba Mtori na ile pombe ya Ndizi au sio.......Ni JF jamani maana hii kitu inapendwa na watu kibao lakini haijui.......
 
Hamna mjanja jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Lizzy Poa nakuja huko kulamba Mtori na ile pombe ya Ndizi au sio.......Ni JF jamani maana hii kitu inapendwa na watu kibao lakini haijui.......

Hahaha...unaifagilia upandishwe cheo ehh??!Ila kwanini umeassume JeiEff ni mkaka na sio mdada? Inaitwa mbege...we njoo tu!
 
Hahaha...unaifagilia upandishwe cheo ehh??!Ila kwanini umeassume JeiEff ni mkaka na sio mdada? Inaitwa mbege...we njoo tu!

New level of Mbege ndugu yangu yaja kaa chonjo....angalia changio langu Photo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…