Teh teh teh!kama unapresha utajijuuu

Vanpopeye

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
620
Reaction score
59
TCU matokeo ni mwezi wa 8,sasa hatujui ni tar ngapi maana tar 4 ndo hii!hahahaaaaa
 
Daah huwezi amini yaani toka mwezi Julai,mpaka leo au mpaka swali liulizwe na mbunge??? Halafu ndo watoe matokeo!!!
 
kaka mbona wasiwasi sana ulichakachua nini? kuwa na subira kama ulifaulu kwa haki na umetumia vyeti halali usihofu utafanikiwa tu hakuna haja ya kuwa na papara hayo ndo mambo ya CCM kuongeza urasimu tu usiokuwa na tija.
 
Kaka we acha tu,familia zetu znahtaj taarifa za haraka ili maandaliz yaanze mpaka mtu uende chuo umetimia kifedha kias flani!
<font size="4">kaka mbona wasiwasi sana ulichakachua nini? kuwa na subira kama ulifaulu kwa haki na umetumia vyeti halali usihofu utafanikiwa tu hakuna haja ya kuwa na papara hayo ndo mambo ya CCM kuongeza urasimu tu usiokuwa na tija. </font>
<br />
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…