Teh teh

hii ni mwisho wa reli!!! [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuliwaambia Wakenya Kwa Instagram Hawata waweza Watanzania Never
 
Taifa stars veepee......
Halafu hii comedy ya hawa vijana wa Chuga huwa napenda sana, hivi Tanzania hamna muigizaji wa kike, angeigiza kwenye hii video badala ya kutumia mwanaume mwenye mindevu.
Mk254, hemu tuambie ukweli kuhusu uraia wako, mbona unaongea kiswahili fasaha kuliko wenzako... ?
 
Mk254, hemu tuambie ukweli kuhusu uraia wako, mbona unaongea kiswahili fasaha kuliko wenzako... ?

Bro, Kiswahili ni lugha yetu ya taifa, na kilibuniwa kwenye ukanda wa pwani ya Kenya na Tanzania enzi za mwarabu na biashara yake ya utumwa, kisha sisi wa mikoani tukakipokea kama mojawapo wa lugha za asili. Hivyo kila mmoja wetu ana jukumu la kukitumia ipasavyo.
 
Ila wewe tofauti na wenzako, au muda mwingi unakuwa upo tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…