Tehama na biashara

Tehama na biashara

Edsger wybe Dijkstra

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2019
Posts
244
Reaction score
491
Wenye experience na market ya Tanzania naombeni mawazo yenu kuhusu biashara zinazohusisha teknolojia ya tehama IT.

Iwe ni biashara ambayo ni fully IT based au ambayo uendeshaji wake unategemea Tehama kwa asilimia kubwa.

Izi traditional businesses tunazofanya naona kama zimeshajaa yani kila mtu ana mpesa ,kilaa mtu ana Hardware, kila mtu ana retail shop, fursa zimekatika kabisa.
 
  1. Website Design
  2. Graphice Design
  3. Computer maintanence
  4. Excel Calculations (Design Templates and Sell)
 
  1. Website Design
  2. Graphice Design
  3. Computer maintanence
  4. Excel Calculations (Design Templates and Sell)
Hivi nikiinvest full kwenye kuanzisha blog na kuwa full itanichukua muda gani kuanza kupata faida?
 
Chukua hizohizo traditional business zihamishie Tehama. Kitu kingine nafikiri biashara kwa sasa inahitaji sana kuwekeza kwenye delivery.

Unafungua duka la pombe, watu wanalipa na kutoa oda kupitia 'tehama' kisha unawapelekea na Kinglion.
 
Wenye experience na market ya Tanzania naombeni mawazo yenu kuhusu biashara zinazohusisha teknolojia ya tehama IT.

Iwe ni biashara ambayo ni fully IT based au ambayo uendeshaji wake unategemea Tehama kwa asilimia kubwa.

Izi traditional businesses tunazofanya naona kama zimeshajaa yani kila mtu ana mpesa ,kilaa mtu ana Hardware, kila mtu ana retail shop, fursa zimekatika kabisa.
Kila biashara duniani inaweza kulipa.,Ni wewe msimamizi mtazamo wako utaamua. Kwa mimi kabla ya kuanza biashara, nakusanya wateja wenye shida fulani, mfano wajasiriamali wanaohangaika kupata wateja kwa kutumia internet, nawapa free offer ,wanapata wateja wa mwanzo ,kisha wanalipia . Hapo wanarecommend kwa wenzio,kwa hiyo nakuwa nakutana na wateja wapya daily
 
Back
Top Bottom