Tehran, Iran: Hijabu yanasa kwenye nguzo za umeme na kuua mwanamke. Watetezi wataka sheria kulazimisha wanawake kuvaa hijabu ifutwe

Tehran, Iran: Hijabu yanasa kwenye nguzo za umeme na kuua mwanamke. Watetezi wataka sheria kulazimisha wanawake kuvaa hijabu ifutwe

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Moderator hijabu imenasa kwenye Ngazi ya umeme yaani escalator na siyo kwenye Nguzo ya umeme hivyo rekebisha kichwa cha habari


Wadau hamjamboni nyote?

Sio mara ya kwanza ajali za aina hii kutokea na kupelekea vifo vibaya vya wanawake nchini Iran huku hijab zikihusishwa

Sheria hii kandamizi ifutwe mara moja

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amina

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Iranian woman dies after hijab gets caught in escalator in Tehran
Mar 4, 2025, 08:41 GMT
Updated 10:13 AM


A woman in Tehran died after her veil became entangled in an escalator, marking the latest fatal accident linked to country's mandatory hijab laws.

The incident took place in eastern Tehran's Damavand Street last Thursday, according to a report by Tehran-based Didban News website.

Although the report referenced other incidents involving malfunctioning and poorly maintained escalators, it noted that the direct cause of this woman's death was her hijab getting caught.

The case is not the first time Iran’s compulsory hijab rules have been linked to fatal accidents involving women.

On November 7, 2021, Iranian media reported that 21-year-old Marzieh Taherian died at a spinning workshop in Semnan, northern Iran, after her headscarf became caught in a machine, pulling her head inside.

On June 5, 2023, a 26-year-old female worker at a plastic injection molding workshop in the northeastern Iranian city of Neyshabur, lost her life when her veil became entangled in a machine, dragging her into it.

The incidents highlight the potential safety risks associated with mandatory hijab in workplaces and public spaces.

On Monday, UN rights chief Volker Turk urged Iran to permanently repeal its hijab laws and end along with all other laws and practices that discriminate against women and girls.

However, despite multiple fatalities in recent years, and repeated calls from rights groups and UN officials, Iranian authorities continue to enforce mandatory hijab laws on women and girls.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    10.3 KB · Views: 2
Wadau hamjamboni nyote?

Sio mara ya kwanza ajali za aina hii kutokea na kupelekea vifo vibaya vya wanawake nchini Iran huku hijab zikihusishwa

Sheria hii kandamizi ifutwe mara moja

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amina

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Iranian woman dies after hijab gets caught in escalator in Tehran
Mar 4, 2025, 08:41 GMT
Updated 10:13 AM


A woman in Tehran died after her veil became entangled in an escalator, marking the latest fatal accident linked to country's mandatory hijab laws.

The incident took place in eastern Tehran's Damavand Street last Thursday, according to a report by Tehran-based Didban News website.

Although the report referenced other incidents involving malfunctioning and poorly maintained escalators, it noted that the direct cause of this woman's death was her hijab getting caught.

The case is not the first time Iran’s compulsory hijab rules have been linked to fatal accidents involving women.

On November 7, 2021, Iranian media reported that 21-year-old Marzieh Taherian died at a spinning workshop in Semnan, northern Iran, after her headscarf became caught in a machine, pulling her head inside.

On June 5, 2023, a 26-year-old female worker at a plastic injection molding workshop in the northeastern Iranian city of Neyshabur, lost her life when her veil became entangled in a machine, dragging her into it.

The incidents highlight the potential safety risks associated with mandatory hijab in workplaces and public spaces.

On Monday, UN rights chief Volker Turk urged Iran to permanently repeal its hijab laws and end along with all other laws and practices that discriminate against women and girls.

However, despite multiple fatalities in recent years, and repeated calls from rights groups and UN officials, Iranian authorities continue to enforce mandatory hijab laws on women and girls.
Hahaha kwani tai ikinasa kwenye mashine mtu akafa itafutwa watu wasivae
 
Wavaa kobaz wanaitana huko kuja kukunanga,,,, ! BTw, hoja yako kama dhaifu,,,, unamaanisha huyo mwanamke mmoja aliepata ajali ndo sheria iwekwe wasivae hayo mavazi ? Ni sawa na kusema hizi ajali za boda boda kila kukicha, serikali ikataze matumizi ya pikipiki hapa nchini
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sio mara ya kwanza ajali za aina hii kutokea na kupelekea vifo vibaya vya wanawake nchini Iran huku hijab zikihusishwa

Sheria hii kandamizi ifutwe mara moja

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amina

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Iranian woman dies after hijab gets caught in escalator in Tehran
Mar 4, 2025, 08:41 GMT
Updated 10:13 AM


A woman in Tehran died after her veil became entangled in an escalator, marking the latest fatal accident linked to country's mandatory hijab laws.

The incident took place in eastern Tehran's Damavand Street last Thursday, according to a report by Tehran-based Didban News website.

Although the report referenced other incidents involving malfunctioning and poorly maintained escalators, it noted that the direct cause of this woman's death was her hijab getting caught.

The case is not the first time Iran’s compulsory hijab rules have been linked to fatal accidents involving women.

On November 7, 2021, Iranian media reported that 21-year-old Marzieh Taherian died at a spinning workshop in Semnan, northern Iran, after her headscarf became caught in a machine, pulling her head inside.

On June 5, 2023, a 26-year-old female worker at a plastic injection molding workshop in the northeastern Iranian city of Neyshabur, lost her life when her veil became entangled in a machine, dragging her into it.

The incidents highlight the potential safety risks associated with mandatory hijab in workplaces and public spaces.

On Monday, UN rights chief Volker Turk urged Iran to permanently repeal its hijab laws and end along with all other laws and practices that discriminate against women and girls.

However, despite multiple fatalities in recent years, and repeated calls from rights groups and UN officials, Iranian authorities continue to enforce mandatory hijab laws on women and girls.
Iran kuna hatari sana hususani kuhusiana na suala la Sera ya Mavazi kwa Wanawake. Overhaul reshuffle is needed there!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sio mara ya kwanza ajali za aina hii kutokea na kupelekea vifo vibaya vya wanawake nchini Iran huku hijab zikihusishwa

Sheria hii kandamizi ifutwe mara moja

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amina

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Iranian woman dies after hijab gets caught in escalator in Tehran
Mar 4, 2025, 08:41 GMT
Updated 10:13 AM


A woman in Tehran died after her veil became entangled in an escalator, marking the latest fatal accident linked to country's mandatory hijab laws.

The incident took place in eastern Tehran's Damavand Street last Thursday, according to a report by Tehran-based Didban News website.

Although the report referenced other incidents involving malfunctioning and poorly maintained escalators, it noted that the direct cause of this woman's death was her hijab getting caught.

The case is not the first time Iran’s compulsory hijab rules have been linked to fatal accidents involving women.

On November 7, 2021, Iranian media reported that 21-year-old Marzieh Taherian died at a spinning workshop in Semnan, northern Iran, after her headscarf became caught in a machine, pulling her head inside.

On June 5, 2023, a 26-year-old female worker at a plastic injection molding workshop in the northeastern Iranian city of Neyshabur, lost her life when her veil became entangled in a machine, dragging her into it.

The incidents highlight the potential safety risks associated with mandatory hijab in workplaces and public spaces.

On Monday, UN rights chief Volker Turk urged Iran to permanently repeal its hijab laws and end along with all other laws and practices that discriminate against women and girls.

However, despite multiple fatalities in recent years, and repeated calls from rights groups and UN officials, Iranian authorities continue to enforce mandatory hijab laws on women and girls.
KIFO NI KIFO TUU
 
Huwezi kuzuia magari kwa sababu huwa yanapinduka.

Huwezi kukataa kutumia umeme kwa sababu huwa unaunguza vitu sometimes.

Pole kwa aliyefariki, ila mamilioni bado wanavaa hijabu na wako sawa tu
 
Daima mfungo ukianza zinaletwa mada za kukashifu dini yetu
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
Al-Kafirun aya 6
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
 
Hivi nyie wagalatia kwanini mnapinga vitu vizuri hivi unaona Raha Gani mama Yako avae kimini apite mbele uko na rafiki zako? Acheni kushabikia mambo ya kijinga hapa usiweke dini jali common sense
 
Wavaa kobaz wanaitana huko kuja kukunanga,,,, ! BTw, hoja yako kama dhaifu,,,, unamaanisha huyo mwanamke mmoja aliepata ajali ndo sheria iwekwe wasivae hayo mavazi ? Ni sawa na kusema hizi ajali za boda boda kila kukicha, serikali ikataze matumizi ya pikipiki hapa nchini

Wavalishwa pampers mna kazi
 
Wavaa kobaz wanaitana huko kuja kukunanga,,,, ! BTw, hoja yako kama dhaifu,,,, unamaanisha huyo mwanamke mmoja aliepata ajali ndo sheria iwekwe wasivae hayo mavazi ? Ni sawa na kusema hizi ajali za boda boda kila kukicha, serikali ikataze matumizi ya pikipiki hapa nchini

Wavaa pampers , mtu kafariki Japan kwa jacket lake kunasa kwenye escalator

Man dies after his jacket gets caught in escalator at Japan station​



View: https://www.reddit.com/r/japan/comments/1bphdyj/man_dies_after_his_jacket_gets_caught_in/?rdt=48400
 
Yan hawa wakirisitu wanataka watu wote duniani watembee uchi kama wao ndo walizike na ushetani wao
Huo ni upuuzi kabisa. Kama kuvaa utafikiri "penguin" eti ndio uonekane umevaa basi ngoja sisi waafrika tutembee "uchi" kwani huo utamaduni sio wetu.
 
Back
Top Bottom