Tekashi 69 na usaliti( snitch)

Nloods and crips ndiyo yalikuwa magenge hatari zaidi
 
Wasanii hawa wapya wa hip pop wanawindwa sana na mapolisi wa kizungu kule kutokana na nymbo zao...wanajua vtu ka bhangi lazma wawe navyo
 
Dogo alikuwa gangstar wa instagram krs one anakwambia "wanarap kuhusu unga na hawajawahi hata kuvuta"
 
Darmian usemalo ni kweli.
Huyu dogo sijawahi kuzielewa nyimbo zake hata siku moja.
Yaani utumbo tu halafu sasa ukiingia YouTube unakuta viewers kibao sio chini ya 50 milion
 
Tekashi 69..huyu dogo alikuwa anakuja moto sana na muziki wake wa kipuuzi puuzi tu
Iz Fcukin' Trey way..Mbona ngoma za mwana ni kali tu?labda kama hufuatilii na hupendi Trap music,Ebu sikiliza Fefe,Gumo,Stoopid,Bebe alaf utanambia.
 
Ni kweli 50 alimpa nafasi kubwa sana naona alimchukulia kama mdogo wake! Ila jamaa huko atakuwa kafinywa sio kidogo mpaka kaona bora a-snitch tu lolote na liwe!!
50 a take care of his son first
 
Hao Mablack wapumbavu nini?

Nani afungwe miaka 47 kisa masela?

Ungese kama huo unafanywa na mafala tuu
 
Hao Mablack wapumbavu nini?

Nani afungwe miaka 47 kisa masela?

Ungese kama huo unafanywa na mafala tuu
 
he really apologize for the bullshit but anahatari kubwa pindi atakapotoka nine trey blood gang ndio waliomlea kundi hili ni kubwa kuanzia USA, Mexico, Puerto Rico
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…