Tekelo ni nani?

Tekelo ni nani?

Grand Master Dulla

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
411
Reaction score
148
Jamani naomba kuuliza wahenga kuna anayestuka hata mmoja anapolisikia au kulisoma jina hili la TEKELO? na kama wapo na wanajua habari zake basi
watufahamishe ni nani na historia yake ikoje,asanteni.
 
Km unamaanisha ile kauli ktk nyimbo za muziki wa America ya kusini 'tekelo' ni tamshi ktk kiingereza cha huko na humaanisha 'chukua yote' yaani "take it all' , mwenyewe unawajua wasouth America wapo km wazaramo wa kwetu
 
Tekelo ni Mchezaji wa Yanga enzi hizo Abeid Mziba,maajabu aliyokuwa akifanya uwanjani na upigaji wake wa mipira ya vichwa akapewa jina hilo.
 
Back
Top Bottom