Teknolojia: Haki ya Faragha iheshimiwe ili kila mmoja afurahie na kunufaika na Majukwaa ya Kidigitali

Teknolojia: Haki ya Faragha iheshimiwe ili kila mmoja afurahie na kunufaika na Majukwaa ya Kidigitali

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Watu wote wanastahili kufurahia Maendeleo ya Teknolojia na Mchango wake katika Maisha ya kila siku

Hata hivyo, tuna Haki ya kuamua nani afahamu nini kuhusu sisi, na kuweka Mipaka katika Matumizi ya Taarifa zetu Binafsi

Faragha ni Haki ya Msingi inayopelekea Haki nyingine kulindwa na kuheshimiwa ipasavyo. Inapoingiliwa, inaweza kuathiri Haki nyingine za Binadamu ikiwemo Uhuru wa Kujieleza
 
Faragha gani iheshimiwe? Nikikaa faragha mimi na mwenzangu labda kuhujumu nchi kwahiyo nayo iheshimiwe? Wakati una kaafaragha kumhujumu mungu unataka uheshimie
 
Faragha ni Haki ya Msingi inayopelekea Haki nyingine kulindwa na kuheshimiwa ipasavyo. Inapoingiliwa, inaweza kuathiri Haki nyingine za Binadamu ikiwemo Uhuru wa Kujieleza[emoji1545][emoji1752]
 
Ni vema pia kusisitiza matumizi sahihi ya utambulisho bandia kwa manufaa ya wote.. Si wote wako huru kutumia utumbulisho wao rasmi kutokana na uamuzi binafsi, nafasi kazini nk
 
Back
Top Bottom