Teknolojia imempa Ellon Musk ukuu wa dunia. Atoa amri kwa Ukraine na Taiwan

Teknolojia imempa Ellon Musk ukuu wa dunia. Atoa amri kwa Ukraine na Taiwan

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Umiliki wa teknolojia za mawasiliano ni jambo muhimu katika kuitawala dunia. Hiyo imeonekana kwa tajiri mkubwa wa dunia Ellon Musk anayemiliki satelite ya Starlink.

Wakati vita kati ya Ukraine na Urusi vikianza jeshi la Urusi liliwahi kuibomoa minara ya mawasiliano ya makampuni ya simu ili kuinyima Ukraine miundombinu ya mawasiliano.

Kwa vile Ukraine ilikuwa imelihisi hilo kutokea ilikuwa imeshaingia mkataba na Ellon Musk ili waweze kutumia mtandao wake wa mawasiliano kupitia satelite ya starlink.Hilo limelsaidia jeshi la Ukraine kuweza kuwasiliana bila kuzuiwa wala kudukuliwa na Urusi.

Kwa upande wake Urusi ilipoona hivyo ikatoa vitisho kwa Ellon Musk kuhusiana na kifaa chake hicho kilichoonekana kuipa nguvu Ukraine.

Kuona hivyo Ellon ikabidi awakabili waUkraine kwamba wakubali kuaachia maeneo yaliyotekwa na Urusi Ukweli ambalo hata Umoja wa mataifa haujauzingatia ili kumaliza vita. Kwa upande wa Taiwan amewataka waache kushirikiana na Marekani katika kuichokoza China ili kuepusha vita visivyokuwa na haja.

Akisimulia maandamano ya Iran kupinga hijabu,Ellon Musk na teknolojia zake inaonekana wamehusika katika kuitingisha Iran.

Anasema watu wa Iran walimuomba watumie mawasiliano yake na alipowakubalia wameweza kuwasilaiana na kuchocheana bila kizuizi.

Hiyo imeonesha kuwa tatizo la Iran wala si hijabu tu isipokuwa ni nguvu ya teknolojia katika kuwaamulia watu cha kufanya na matumizi yake mabaya kwa watu wenyewe.

Wakati akizungumza na wafuatiliaji wake wa twitter wanaofikia milioni 108 baada ya kauli ya Biden kuhusu hofu ya kutokea vita vya nyuklia, Ellon Musk amesema siku hizi hapati usingizi akifikiria namna gani ya kumaliza vita hivi kabla havijavuka mpaka na kuwa vita kamili ya dunia itakayohusisha matumizi ya nyuklia.Kauli kama hiyo haijasikiika kutoka kwa katibu mkuu wa UN.

1665375708439.png
 
Hatujaja duniani kuishi milele.
Tunazaliwa ili tufe bila kujali tutakufaje?

Wazitumie tu hizo Nyukilia lengo la kuzitengeneza litimie vizuri..

Tukipe kizazi kijacho kuifanya dunia sehem salam, sisi tumeshi ndwa kujali na kujithamini utu na ubinadam wetu.
 
Elon Musk ni wizard kwenye masuala ya tech lakini ni mweupe mno katika masuala ya siasa za jiografia na historia kwa ujumla.

Anajaribu kujadili mjadala wa geopolitics ambao ni mzito kuliko uwezo wake. Kila hoja anayotoa imeishia kuwa fact-checked kirahisi na watu ambao wengine wana ufahamu wa kiasi tu kuhusu masuala ya geopolitics na dunia.

Miongoni mwa hoja ambazo anazileta leo hii ndizo hoja zilizotumika miaka ya 30 kujaribu kutafuta amani na Adolf Hitler aliyefanya uvamizi nchini Czechoslovakia kwa kisingizio cha kwenda kulinda raia wenye asili ya Ujerumani.

Matokeo yake wote tunayajua: World War 2.

Kabla ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, viongozi wa mataifa ya Uingereza, Italia na Ufaransa waliingia kwenye makubaliano ya amani na Adolf Hitler (Munich agreement) mwaka 1938 kuhusiana na mgogoro wa Sudeten.

Makubaliano ambayo yalihalalisha uvamizi wa Adolf Hitler nchini Czechoslovakia huku viongozi hao wakiamini kwamba kwa kumuachia Hitler ayachukue maeneo ya Sudetenland nchini Czechoslovakia kungeweza kuzuia vita kubwa zaidi barani Ulaya na kuleta amani ambapo Hitler aliahidi kutochukua eneo jingine lolote.

Mwaka uliofuatia baada ya yale makubaliano ya kitapeli ya kuishinikiza Czechoslovakia iachie maeneo yake, Hitler aliitwaa nchi nzima ya Czechoslovakia kisha ndipo WW2 ilipoanza kushika kasi.

Mkataba wa kitapeli ulioitwa "Munich agreement" ulikuwa ni failed act of appeasement, kitu ambacho ndicho Elon Musk anapendekeza kifanyike hivi leo kuhusu Ukraine huku Urusi ikiyapokea kwa shangwe mapendekezo yake.
 
Umiliki wa teknolojia za mawasiliano ni jambo muhimu katika kuitawala dunia. Hiyo imeonekana kwa tajiri mkubwa wa dunia Ellon Musk anayemiliki satelite ya Starlink.

Wakati vita kati ya Ukraine na Urusi vikianza jeshi la Urusi liliwahi kuibomoa minara ya mawasiliano ya makampuni ya simu ili kuinyima Ukraine miundombinu ya mawasiliano.

Kwa vile Ukraine ilikuwa imelihisi hilo kutokea ilikuwa imeshaingia mkataba na Ellon Musk ili waweze kutumia mtandao wake wa mawasiliano kupitia satelite ya starlink.Hilo limelsaidia jeshi la Ukraine kuweza kuwasiliana bila kuzuiwa wala kudukuliwa na Urusi.

Kwa upande wake Urusi ilipoona hivyo ikatoa vitisho kwa Ellon Musk kuhusiana na kifaa chake hicho kilichoonekana kuipa nguvu Ukraine.

Kuona hivyo Ellon ikabidi awakabili waUkraine kwamba wakubali kuaachia maeneo yaliyotekwa na Urusi Ukweli ambalo hata Umoja wa mataifa haujauzingatia ili kumaliza vita. Kwa upande wa Taiwan amewataka waache kushirikiana na Marekani katika kuichokoza China ili kuepusha vita visivyokuwa na haja.

Akisimulia maandamano ya Iran kupinga hijabu,Ellon Musk na teknolojia zake inaonekana wamehusika katika kuitingisha Iran.

Anasema watu wa Iran walimuomba watumie mawasiliano yake na alipowakubalia wameweza kuwasilaiana na kuchocheana bila kizuizi.

Hiyo imeonesha kuwa tatizo la Iran wala si hijabu tu isipokuwa ni nguvu ya teknolojia katika kuwaamulia watu cha kufanya na matumizi yake mabaya kwa watu wenyewe.

Wakati akizungumza na wafuatiliaji wake wa twitter wanaofikia milioni 108 baada ya kauli ya Biden kuhusu hofu ya kutokea vita vya nyuklia, Ellon Musk amesema siku hizi hapati usingizi akifikiria namna gani ya kumaliza vita hivi kabla havijavuka mpaka na kuwa vita kamili ya dunia itakayohusisha matumizi ya nyuklia.Kauli kama hiyo haijasikiika kutoka kwa katibu mkuu wa UN.

View attachment 2382214
Yuko sawa.. huwezi kupanga maisha kuishi Mars wakati hapa tu palikushinda mgogoro wa Urusi na Ukraine pengine ikawa ni rahisi kusolve kuliko hayo watakayo kutana nayo Mars

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Yuko sawa.. huwezi kupanga maisha kuishi Mars wakati hapa tu palikushinda mgogoro wa Urusi na Ukraine pengine ikawa ni rahisi kusolve kuliko hayo watakayo kutana nayo Mars

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Upuuzi kabisa kufikiria kwenda Mars kumbe dunia imetushinda. Huko tukigombana nani atatusuluhisha.Hilo kaliona Ellon kabla kutoa chombo cha kwenda Mars mwaka 2050.
 
Sasa imekuwa rasmi kuwa Ellon Musk ameyakataa maombi ya Ukraine kutumia mifumo yake ya mawasiliano katika eneo la Crimea.
Ellon amesema akiruhusu hilo itakuwa kama ameruhusu Urusi kutumia silaha za nyuklia.Kwa upande wa maeneo mengine ya Ukraine amesema hawezi kutoa maelezo zaidi kwani ni siri za vita.Amekanusha kuwa na mazungumzo na raisi Putin kuhusiana na uamuzi wake huo..Pamoja na hivyo amethibitisha kukatikatika kwa mawasilano ya mifumo yake kwenye mistari wa mbele ya vita vinavyoendelea ikihisiwa Urusi wameanza kupata namna ya kuchafua mawasilano hayo ambayo katika siku za karibuni yameiwezesha Ukraine kusonga mbele kwenye uwanja wa vita.
 
Umiliki wa teknolojia za mawasiliano ni jambo muhimu katika kuitawala dunia. Hiyo imeonekana kwa tajiri mkubwa wa dunia Ellon Musk anayemiliki satelite ya Starlink.

Wakati vita kati ya Ukraine na Urusi vikianza jeshi la Urusi liliwahi kuibomoa minara ya mawasiliano ya makampuni ya simu ili kuinyima Ukraine miundombinu ya mawasiliano.

Kwa vile Ukraine ilikuwa imelihisi hilo kutokea ilikuwa imeshaingia mkataba na Ellon Musk ili waweze kutumia mtandao wake wa mawasiliano kupitia satelite ya starlink.Hilo limelsaidia jeshi la Ukraine kuweza kuwasiliana bila kuzuiwa wala kudukuliwa na Urusi.

Kwa upande wake Urusi ilipoona hivyo ikatoa vitisho kwa Ellon Musk kuhusiana na kifaa chake hicho kilichoonekana kuipa nguvu Ukraine.

Kuona hivyo Ellon ikabidi awakabili waUkraine kwamba wakubali kuaachia maeneo yaliyotekwa na Urusi Ukweli ambalo hata Umoja wa mataifa haujauzingatia ili kumaliza vita. Kwa upande wa Taiwan amewataka waache kushirikiana na Marekani katika kuichokoza China ili kuepusha vita visivyokuwa na haja.

Akisimulia maandamano ya Iran kupinga hijabu,Ellon Musk na teknolojia zake inaonekana wamehusika katika kuitingisha Iran.

Anasema watu wa Iran walimuomba watumie mawasiliano yake na alipowakubalia wameweza kuwasilaiana na kuchocheana bila kizuizi.

Hiyo imeonesha kuwa tatizo la Iran wala si hijabu tu isipokuwa ni nguvu ya teknolojia katika kuwaamulia watu cha kufanya na matumizi yake mabaya kwa watu wenyewe.

Wakati akizungumza na wafuatiliaji wake wa twitter wanaofikia milioni 108 baada ya kauli ya Biden kuhusu hofu ya kutokea vita vya nyuklia, Ellon Musk amesema siku hizi hapati usingizi akifikiria namna gani ya kumaliza vita hivi kabla havijavuka mpaka na kuwa vita kamili ya dunia itakayohusisha matumizi ya nyuklia.Kauli kama hiyo haijasikiika kutoka kwa katibu mkuu wa UN.

View attachment 2382214
Anaona mbali
Anapenda utu
Anazuia madhara zaidi


Hayo dunde heads yamekaa kuchpchea vita yauze silaha
 
Back
Top Bottom