Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,143
- 372
Jamii yetu ina changamoto nyingi sana ambazo tunaweza kuzifanyia kazi na kuzipatia ufumbuzi kwa kutumia technology. Tumeshatoka kwenye zama za kutumia nyundo (figuratively) katika kila kitu.
Tukianza kuorodhesha changamoto ambazo jamii yetu inazo, nafikiri zitakuwa ni nyingi sana na wala siku nzima haitoshi kuzimaliza. Kibaya zaidi, unapoongea na watu tofauti kuhusu kutatua hizi changamoto, watakujibu, "Ya nini bwana? Tumeshazoea.
Hakuna jibu au neno ninalolichukia kama, "Nimeshazoea au Tumeshazoea" hasa ikiwa ni shida au changamoto fulani. Hilo neno linaonyesha mtu amefikiwa mwisho wa kufikiri au amekata tamaa. Sio sawa, tuamke.
Technology imesharahisisha mambo mengi sana. Kilichobaki ni jamii yetu kujifunza na kuanza kutatua changamoto tulizonazo. Tumeshatafuniwa kila kitu. Ni sisi tu kuifanyia kazi.
Tukianza kuorodhesha changamoto ambazo jamii yetu inazo, nafikiri zitakuwa ni nyingi sana na wala siku nzima haitoshi kuzimaliza. Kibaya zaidi, unapoongea na watu tofauti kuhusu kutatua hizi changamoto, watakujibu, "Ya nini bwana? Tumeshazoea.
Hakuna jibu au neno ninalolichukia kama, "Nimeshazoea au Tumeshazoea" hasa ikiwa ni shida au changamoto fulani. Hilo neno linaonyesha mtu amefikiwa mwisho wa kufikiri au amekata tamaa. Sio sawa, tuamke.
Technology imesharahisisha mambo mengi sana. Kilichobaki ni jamii yetu kujifunza na kuanza kutatua changamoto tulizonazo. Tumeshatafuniwa kila kitu. Ni sisi tu kuifanyia kazi.